Msaada wenu Wakuu, baba yangu hataki kunilipa deni langu

Msaada wenu Wakuu, baba yangu hataki kunilipa deni langu

  • Kijana kwanza utambue wazi kwamba baba yako alitumia muda mwingi na rasilimali nyingi sana kumpata mama yako,ikiwemokukoswa koswa mishale na wajombazako ambao ni kakawa mama zako.
  • Mbili baba yako ali hustle sana kujiweka sawa kimaisha baada ya kuanza kuishi na mama kabla wewe hujafikiriwa.
  • Ulimtesa sana baba kipindi cha ujauzito wa mama kwa kuwa hakuwa na kazi ya kueleweka na bado alikuwa na madukumu mengine yaliyomtegemea yeye.
  • Ukiwa mdogo umeharibu vitu vingi sana nyumbani ambavyo utahitajika ukurasa mzima wa A3 kuelezea uharibifu huo.
  • Gharama aliyotumia kukulisha,kukuvisha,kukutibu na kukununulia mahitaji ni kubwa mno hasa ukizingatia palikuwa na transition mbaya ya uongozi na anguko la uchumi toka kwa mzee Mwinyi hadi kwa mzee Ben.
  • Umekaa kwa mzee bure kwa miaka yote hiyo hujui bei ya umeme,hujui bei ya mkaa,hujui bill ya maji na bado ameweza kujikunja kukusomesha.
  • Kwa muktadha huo unapaswa wewe ndiye ulipe gharama zooooote alizotumia na kurudisha mali zake zote kisha mkae chini muandikiane mkataba kama ataona inafaa basi uendelee kuwa mwanae ama utafute baba mwingine.
Hakumuomba amzae.Alipe Deni aache porojo Kama hizi zako
 
Miaka 31 bado uko kwa baba na mama....!!?
Huna aibu hata kidogo unaleta Uzi wa kindezi namna hii na chuo umeenda...!!?

Kwa jinsi ulivyo na akili yako mbovu huwezi 1. Kuwajengea wazazi wako nyumba bora hata ukipata mafanikio namna gani.
2. ................. .........
3.
4.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri achana kumdai Mzazi.Huyo ni Baba yako hujui kama anakupima? Wazee wengi huwapima watoto wao kwa njia nyingi.Kuna kitu anakipima kwako usifikiri hajui kwamba unamdai.Jiongeze na kama una kazi/biashara yako jitahidi uwe unampa hela bila kujali kwamba unamdai.Faida yake utaiona.Huyo ni Mzazi.Mwenye masikio na asikie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha fix kupimana kwa kukopana? Halafu unamkopa mwanafunzi bila hata aibu? Mtoto bado anasoma Mzazi unamkopa hela kweli? Akili unakuwa nazo kweli?

Huyo baba Yake alipe na anatakiwa kutandikwa viboko kwa roho mbaya ya kumtesa mtoto.
Mtoto kutoa laki Tisa atakuwa aliishi maisha magumu Sana chuoni

Huyo baba anatakiwa kulipa bila porojo zozote
 
Habarini za uzima wakuu

Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)

Niende kwenye maada moja kwa moja

Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.

Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa

Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)

Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu

Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri

Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu

Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu

Kila siku is naumia moyoni

Naombeni msaada wenu

Sent using komputa mpakato
Mzazi hakopeshwi mkuu, mzazi anapewa piga hesabu tu kua ulimpa hiyo pesa,
Tafuta mishe nyingine ikuingizie pesa hiyo achana nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu, naamini huyo ni baba yako mzazi. Kama hana hela utafahamu na kama anajifanyisha unafahamu. Samehe anza upya 2020. Tafuta hela nyingine nenda kapange. Haina haja ya kuwa na vinyongo/bifu na wazazi wetu, maana bado atabaki kuwa baba yako tu. Fanya kazi kwa bidii uhame na pia usisahau kuwasaidia wazazi wako. Mungu akubariki sana.
Atakuwa mchaga huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za uzima wakuu

Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)

Niende kwenye maada moja kwa moja

Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.

Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa

Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)

Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu

Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri

Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu

Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu

Kila siku is naumia moyoni

Naombeni msaada wenu

Sent using komputa mpakato
I see the way you hate him! Ukiendelea hivi future huna, tupo utakuja kuturudishia mrejesho
 
Acha fix kupimana kwa kukopana? Halafu unamkopa mwanafunzi bila hata aibu? Mtoto bado anasoma Mzazi unamkopa hela kweli? Akili unakuwa nazo kweli?

Huyo baba Yake alipe na anatakiwa kutandikwa viboko kwa roho mbaya ya kumtesa mtoto.
Mtoto kutoa laki Tisa atakuwa aliishi maisha magumu Sana chuoni

Huyo baba anatakiwa kulipa bila porojo zozote
Nilikuwa nateseka Sana chuo kaka

Sent using komputa mpakato
 
post nengine bhana. wewe si ulikuja hapa ukasema baba ako anataka kukuukuza kisa ccm
 
Habarini za uzima wakuu

Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)

Niende kwenye maada moja kwa moja

Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.

Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa

Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)

Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu

Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri

Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu

Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu

Kila siku is naumia moyoni

Naombeni msaada wenu

Sent using komputa mpakato
Wewe unaweza kumlipa shahawa, zake alizotumia mpk ukawepo...??

Acha ushamba mzazi akopeshwi akimpata akakurudishia si kwamba kalipa deni bali umepewa wewe pesa ili uzidi kupambana si kulipwa...! Fadhila ya mzazi huwezi kuilipa maisha yako yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema tu kwa kuwa hii ni kama hadithi sio kweli kama kuna kitu kama hicho!
 
Back
Top Bottom