Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

Kama ulizaa naye na unampemda kwa nini ulioa mwingine? Shuba miti.

Na unafikiri yeye anajisikiaje, umri wake unaendelea ku songa, wewe una mshikilia tu. Huyo si fala na siku si nyingi.atakuletea kadi ya mchango.
 
Kila siku tunasema apa kuwa ukioa single mama hakikisha narudia tena hakikisha umeona kaburi la mme wake
 
Mkuu ww ni mwamba kweli kweli kama Mpabe me huwa nakukubali sana japo sikujui
 
Masikini mamaj na bado alivyozwazwa atakupa kipapwizo..khaa
 
Unatafuta ukimwi
 
Utoto unakusumbua. Ukikua utajitambua.

Hata haujui maana ya mke na mzazi mwenzia!!?
Halafu mzazi mwenza wa mazingira unayotueleza!!
Mzinifu wewe. Acha uzinzi.
Mkuu sijakuelewa
Utoto unakusumbua. Ukikua utajitambua.

Hata haujui maana ya mke na mzazi mwenzia!!?
Halafu mzazi mwenza wa mazingira unayotueleza!!
Mzinifu wewe. Acha uzinzi.
Mkuu sijakuelewa hata kidogo Sasa hapo mie uzinifu wangu uko wapi. Na huo utoto umeupima Kwa namna Gani?
 
Ukishaona unaanza kuomba ushauri sjui unataka kujua kama anakupenda au hakupendi

Basi jua haupendwi na deep inside you know it. Ila unatafuta comfort zone hapa kuukataa uhalisia, na una expect watu tukwambie kuwa bibie anakupenda ili usuuzike nafsi. Ila unajua kabisa hauna chako

By the way ungekua unapendwa kweli usingekuja kuleta uzi hapa
 
mkuu umemwambia ukweli mchungu sana..asome hapa
 
kumbe sio tu kwenye kula kimasihara hata kwenye ushauri upo vyema mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uko mkoan una mpz dar utatesek san
Una block mtu bado unachat nae
Mwanamke hapendw sikuhz wew n kumjal tuu ili uwez kumuendesha
 
Natamani haya mahusiano yaishe maana ni mateso sana kuwa kwenye mahusiano na mwanamke usiyemuamini ila natamani arudi tu tuendelee kuwa pamoja tulee mtoto wetu licha ya haya mateso anayonipitisha.
 
Umeandika mno na ww khaaaa
 
Leo tarehe 21/12/2022 saa 6:04 usiku nimesoma uzi wa kipumbavu sana ulioandikwa na Mfia nchi. Nakushauri fanya jambo lolote litakalosababisha tukuite "Mfia nchi" ile yenye uhalisia kwasababu unachofanya ni upumbavu.
 
Mshana Jr ..njoo sema jambo apa
 
Na huyo mtoto unae sema umezaa naye chunguza huenda sio wako.Malaya hafugiki kama kunguru vile, huwezi mfuga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…