Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
Kwa sasa namwelewa vizuri sana anacho pitia , ni maumivu makubwa sana haya elezeki kikweli na kukubali mtu unajiona kama una mtelekeza mpendwa wako na abda na tafuta msaada alipo huko .Celine Dion Hadi kapata ugonjwa unao muua taratibu kisa kashindwa kabisa kukubali mumewe kafa
Muulize Huyo mtu.Kitengo cha misukule nchini kiko wapi?
Nimuulize nani??Muulize Huyo mtu.
Wachawi ni Serikali kamili yenye administrative system
Mussa ChesaNimuulize nani??
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.[emoji419][emoji375]Salamu kwenu jukwaa!
Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.
Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments[emoji1488]
Ndo anapatikana wapi?au ni wewe mazee??Mussa Chesa
YouTubeNdo anapatikana wapi?au ni wewe mazee??
NitarejeaPoleni kwa msiba.
Nashauri huyo mtaalam msimpe chochote mpaka ndugu yenu anyanyuke.
Hata aseme misimu ndiyo inataka.
Cc Mshana Jr
Nugu hili jambo linawezekana kabisa 💯 lakini hutaweza vigezo, yupo mtaalamu hizi ndo kazi zake karudisha sana watu BagamoyoSalamu kwenu jukwaa!
Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.
Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Haya mambo yapo, mimi kuna mtu nilimuoana alikufa akiwa kijana mdogo , bahati nzuri mwenye familia alikuwa mganga na hakuwepo hvyo akawaambia wasizike kwanza. Aliporudi akafanya mafekechee hadi marehemu akaamka japo ilichukua kama siku 3 hv.Mimi mzee wangu aliumwa na kila nilikopita niliambiwa kachukuliwa msukule,nilipambana huku na huku hadi leo yupo hai ingawa bado hajatulia sawa sawa!
kikosi kinatoka mkuu, hebu nielimisheZimepita siku 7?
Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?
Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?
Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.
Naomba jifikirie kwanza.
Unitag ukirejea.
We wa mrao keryo ulizungukia rombo au[emoji21]Mimi mzee wangu aliumwa na kila nilikopita niliambiwa kachukuliwa msukule,nilipambana huku na huku hadi leo yupo hai ingawa bado hajatulia sawa sawa!