PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,437
Unajua mama unavouliza swali tumia njia ambayo watu watakuelewa hitaji lako..Mimi siijui hometheatre jomonii...nimeuliza hapa naona raia mnanizomea...daah!!!
Sawa bhana!!!!
Mkuu tatizo lako limeshanikuta tena na mimi nina system iyo iyoHabali zenu wana jamvi
Leo nimeamini kwamba vyuma vipo tyt sio tu kwa binadamu mpka wanyama na wadudu.nimepatwa na ghadhabu ju ya huyu mdudu panya kitendo alichonifanya kula speaker ya hometheater hakika sita muacha hai siku akingia kwenye kumi na nane zangu.
Msaada kwa anayejua headquater za sony au sehemu mafundi wazuri wa hizi kitu tujuzane kwamaa mimi nipo addict na mziki mnene. MODEL DAV 350
Naombeni msaada katika hiliView attachment 1146809
Msaada umeshapewa khs hometheatre yako, unapokwama ni wapi..hiyo post namba 3 ingetosha kumaliza dukuduku lako loteNdio mana nikaja kuomba msaa kwa wanajamvi wote na sio mtu moja
peleka ulikonunua kama wanaweza kukuagizia sub nyingine. au ifungue then toa woofer. nenda town katafute zitazoendana (watt,kipenyo na ohms) ukikosa kabisa cheki mtumbani.Ni Speaker tu
Kuna uzi nlianzisha sema nautafuta siuoni maana hii ID nayotumia ni mpya siunajua mods na ban zaoPole sana mkuu tuwe makini na huyu kiumbe sita muacha hai kwa hasara na vyuma hivi[emoji35][emoji35]
Mkuu inanesha unauzoefu na hzi kitu sasa kama inawezekana ni comnect au nipe direction na mafundi na sio wababaishaji mwisho wa siku tatizo lizae tatizo.peleka ulikonunua kama wanaweza kukuagizia sub nyingine. au ifungue then toa woofer. nenda town katafute zitazoendana (watt,kipenyo na ohms) ukikosa kabisa cheki mtumbani.
kama ni kuibadili tu hiyo kazi ni simple hata wewe mwenyewe unaweza fanya. ila kwanza nenda uliponunua au kwa dealer wa sony.Mkuu inanesha unauzoefu na hzi kitu sasa kama inawezekana ni comnect au nipe direction na mafundi na sio wababaishaji mwisho wa siku tatizo lizae tatizo.
Mkuu iko ivi.. Panya hawezi kuingia kwenye main unit(deki iyo) maana hakuna pa kuingilia ila anaweza kuingia humo kwenye spika kubwa maana kuna tundu hilo la kupumulia.Habali zenu wana jamvi
Leo nimeamini kwamba vyuma vipo tyt sio tu kwa binadamu mpka wanyama na wadudu.nimepatwa na ghadhabu ju ya huyu mdudu panya kitendo alichonifanya kula speaker ya hometheater hakika sita muacha hai siku akingia kwenye kumi na nane zangu.
Msaada kwa anayejua headquater za sony au sehemu mafundi wazuri wa hizi kitu tujuzane kwamaa mimi nipo addict na mziki mnene. MODEL DAV 350
Naombeni msaada katika hiliView attachment 1146809
yaani kama ungeipata hio woofer tu iliyoliwa hela ndogo sana itakugharimu kuliko kubadili sub nzima.Asante kwa msaada wa mawazo mkuu.ngoja niandae pochi
Speaker kubwa ndo imepata majanga hayo hvo sauti haitoki inamaa kuwa kilichoathirika ni speaker ya ndaniMkuu iko ivi.. Panya hawezi kuingia kwenye main unit(deki iyo) maana hakuna pa kuingilia ila anaweza kuingia humo kwenye spika kubwa maana kuna tundu hilo la kupumulia.
Iyo spika kubwa haina mtambo wowote it's just spika tu. Maana yake kama panya ameingia humo akafanya yake system ina kuwa haitoi bas tu ila mambo mengine safi.
Tatizo hujatoa maelezo kwenye uzi wako...nashindwa kuelewa tatizo ni nini?
ok nimekupataAmekula speaker mkuu