MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
Hivi hawa polisi wanajitambua kweli!!?? hivi mamazao na shangazi zao wana hawajaumizwa na huu utawala!! niliwahi sikia kuwa! ukifeli kidato cha nne, basi nenda polisi watakuchukua!!Nimeona video ya mgombea mwenza wa CHADEMA akipigwa mabomu kisa kusimama na kuwasalimia wananchi. Roho imeniuma sana.
Nilikuwa nikiona watu wanajivisha mabomu na kwenda kulipua sehemu nilikuwa nashindwa kuelewa kwa nini mtu anafikia hatua hiyo, ila sasa nimeelewa kwa nini watu hujitoa muhanga.
Rais Magufuli anapita kila sehemu na kusalimia watu lakini hakuna wa kumgusa. Polisi mnahatarisha amani ya nchi.
View attachment 1585538
Onyo la nini na wew mpu..zi! Mbona Magufuli anasimama kila mahali??Bila onyo? Walitokea tu na kuanza kurusha mabomu?
Tuwe wakweli, Magufuli huwa hasimami?jamani tuwe wakweli sasa mtu unapita katikati ya mitaa ya mji kabisa unafunga mtaa unaanza kuhutubia watu gari zingine hazina pa kwenda maduka ya watu ghafla vibaka wanajaa milangni ukiambiwa toka unajaza vibaka maduka ya watu hutaki
Hii video ni ushahidi wa upuuzi wa Chadema unaendaje katikati ya mtaa na kufunga mtaa?
Huwa anasimamishwa.Tuwe wakweli, Magufuli huwa hasimami?
Ulishamuona anasimama vichochoroni?Hivi Mgombea Mwenza wa Magu yule Mama Samia Suluhu naye huwa anapigwa mabomu ya machozi hivi hivi? Au yeye huwa hasimami barabarani kusalimia wananchi?
Hapana,hua anasimama na dola.Ulishamuona anasimama vichochoroni?
Hahah magari ya kwny msafara wake yanatembea speed zaidi ya 100km/h,helikopta iko juu,polisi wako mbele wanasafisha njia nani mwenye uwezo wa kusimamisha msafara huo?