Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,599
- Thread starter
- #21
tupe dondoo mkuu maana reasoning ndiyo kila kituKakudanganya nani kwamba alijinyonga? Rudi shule ya "reasoning".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupe dondoo mkuu maana reasoning ndiyo kila kituKakudanganya nani kwamba alijinyonga? Rudi shule ya "reasoning".
Nimepata kitu hapa, kumbe kuna gari mpya ya mawasiliano ilikuwa kwenye msafara mkuu? Inafanyaje kazi hiyo gari?Labda ni ile gari mpya ya mawasiliano iliyopo katika msafara wa Rais wataalam wake hawajaweza ku-master mitambo iliyopo mule. ( Aliyeona msafara wa Rais kwa siku hizi mbili atakubaliana nami )
hata mimi nimeshangaa sana jinsi walivyopotea, nikirudi nikuletee wapi sato?Hii inaonesha jinsi wabongo tusivyomakini na mambo yetu. Ilikuwaje muongoza msafara asijue njia!
Btw ukirudi naomba uniletee sato
mkuu unaonyesha kukata tamaa, kulikoni mkuu?walivopotea ndivo nchi ilivopotea
Kweli Tz haiishi vituko.hata mimi nimeshangaa sana jinsi walivyopotea, nikirudi nikuletee wapi sato?
Bullshit!Oooh ila hata me nilishawahi kupotea njia kule temeke ila namshukuru Mungu niliuliza nikafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini wtz bado tume jaa na mawanzo ya kijamaa ....sasa unaona hilo nijambo kumbwa mnapenda sanaa kutukuza vitu....mbona hilo ni kawaida sanaa hata trump wanakosea njia au wanapata emergence nakujirekebisha acha mawanzo ya ujamaa buana.Heko wadau wa ulingo huu usio na mashabiki wengi.
Siku tatu zilizopita nilienda Mwanza kikazi, ndipo leo muda wa saa 4 au saa 5 asubuhi, tarehe 4 mwezi wa 9, 2018 nimeshuhudia kwa macho yangu msafara wa Raisi wa Tanzania ukikosea njia pale Mwanza kwenye Roundabout iliyoko karibu na BOT MWANZA.
View attachment 856842
Pamoja na kuwa walikuwepo askari wa usalama barabarani lakini nimeshangazwa kuona gari za mbele kusimama ghafla baada ya kuwa zimeingia junction ya Musoma road badala ya kunyooka na Airport road. Baada ya kusimama ghafla gari ya mbele ilipiga honi karibia mara nne, ambapo nafikiri ilimaanisha kutaka msaada wa kuelekezwa njia baada ya kukosea njia sahihi.
Ndipo mmoja wa askari kwenye gari la pili akashuka haraka na kumuonyeshea ishara ya kugeuza ili waendelee na Airport road. Wakati hayo yakiendelea ilibidi msafara wa gari za mbele usimame huku gari za nyuma zikipunguza mwendo kwa ghafla.
Baada ya kushuhudia tukio hilo nikabaki najiuliza maswali mengi, hivi kumbe somo la mawasiliano ni shida hata kwa taasisi nyeti ambazo zinaongoza msafara wa Raisi?
Je mawasiliano ya askari wa usalama barabarani yalikuwa hacked na kupoteza umakini wa taarifa na maelekezo?
Lakini pia nikajiuliza hili tukio kiusalama lina madhara gani?
Karibuni wadau.
Ni jambo la kushangaza sana hicho. Hata kama Rais ndiye anaongoza huo msafara, asingepotea. Anavifahamu hata vichochoro vya jiji la Mwanza!hata mimi nimeshangaa sana jinsi walivyopotea, nikirudi nikuletee wapi sato?
Tz kuna vituko vingi sana mkuu, sijui tatizo ni nini? maana si kwa kosa lile nililoshuhudia leo?Kweli Tz haiishi vituko.
Palepale pa siku zote!
Hilo nalo neno!walivopotea ndivo nchi ilivopotea
Taratibu mkuu, hili ni jukwaa la intelligence, ukiona jambo hili ni la kawaida basi ujue siyo saizi yako, tulia tu usome comments.Lakini wtz bado tume jaa na mawanzo ya kijamaa ....sasa unaona hilo nijambo kumbwa mnapenda sanaa kutukuza vitu....mbona hilo ni kawaida sanaa hata trump wanakosea njia au wanapata emergence nakujirekebisha acha mawanzo ya ujamaa buana.
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa mkuuNi jambo la kushangaza sana hicho. Hata kama Rais ndiye anaongoza huo msafara, asingepotea. Anavifahamu hata vichochoro vya jiji la Mwanza!
kivipi mkuu?
Ilitokea mwaka 2012, ulikuwa ushamaliza chuo?tupe maelezo mkuu ilikuaje baada ya kukosea na kuelekeza msafara kusiko sahihi?
Kwa aina ya reasoning uliyotumia una jumuisha kuwa kila kupotea kwa msafara ni mbinu ya kupoteza watu kiusalama? siyo kila kosa ni mbinu mkuuTatizo ni pale msipoishi nchi zingine na hamuezi kujua ya hizo nchi zingine.yamkini ni jambo la kawaida tu au ni la kupoteza watu kiusalama.huwezi kujua yote kwa kuona kwa macho tu pasi kujua taratibu zao
Sent using Jamii Forums mobile app
tena zamani sana, binafsi nilisikia kuwa walimdungua na gun bullet halafu wakasema kuwa alijidungua mwenyeweIlitokea mwaka 2012, ulikuwa ushamaliza chuo?
Pole sana mkuuOooh ila hata me nilishawahi kupotea njia kule temeke ila namshukuru Mungu niliuliza nikafika
Sent using Jamii Forums mobile app