Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Ingia tu mkuu ujipatie habari kamili.Mwandishi nani joji au?
Majina mengine ni magumu na ndio mara ya kwanza kuyaona humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia tu mkuu ujipatie habari kamili.Mwandishi nani joji au?
Inaonekana hujui protocol za mambo ya Usalama. Mimi sijamuhukumu ila principles ziko hivyo, hamna namna.
Kwa mtindo huo mbona askari waliyemwuliza kama ana nia mbaya anaweza kuwaonyeshea njia nyingine na wajipeleka wenyewe kwa maaduiAlijipiga risasi, alikuwa dogo mmoja hivi fresh from MPA/CCP my village neighbour. Huyu alionewa tu maana alikuwa mgeni na haijui vizuri Bunda (alikuwa ndo kwanza ametoka depo).
Alipigwa shabaKuna askari mmoja wa kike alipoteza msafara wa Kikwete, yule dada alijinyonga aisee.
Endeleeni kuamini kwamba alijipiga risasi...wfk....
Ni kosa kubwa sana kwa Askari wa usalama barbarani na sio ajabu ukaskia RPC au RTO akawa responsible kwa hilo!Heko wadau wa ulingo huu usio na mashabiki wengi.
Siku tatu zilizopita nilienda Mwanza kikazi, ndipo leo muda wa saa 4 au saa 5 asubuhi, tarehe 4 mwezi wa 9, 2018 nimeshuhudia kwa macho yangu msafara wa Raisi wa Tanzania ukikosea njia pale Mwanza kwenye Roundabout iliyoko karibu na BOT MWANZA.
View attachment 856842
Pamoja na kuwa walikuwepo askari wa usalama barabarani lakini nimeshangazwa kuona gari za mbele kusimama ghafla baada ya kuwa zimeingia junction ya Musoma road badala ya kunyooka na Airport road. Baada ya kusimama ghafla gari ya mbele ilipiga honi karibia mara nne, ambapo nafikiri ilimaanisha kutaka msaada wa kuelekezwa njia baada ya kukosea njia sahihi.
Ndipo mmoja wa askari kwenye gari la pili akashuka haraka na kumuonyeshea ishara ya kugeuza ili waendelee na Airport road. Wakati hayo yakiendelea ilibidi msafara wa gari za mbele usimame huku gari za nyuma zikipunguza mwendo kwa ghafla.
Baada ya kushuhudia tukio hilo nikabaki najiuliza maswali mengi, hivi kumbe somo la mawasiliano ni shida hata kwa taasisi nyeti ambazo zinaongoza msafara wa Raisi?
Je mawasiliano ya askari wa usalama barabarani yalikuwa hacked na kupoteza umakini wa taarifa na maelekezo?
Lakini pia nikajiuliza hili tukio kiusalama lina madhara gani?
Karibuni wadau.
Sure,maana tuliambiwa,eti kajipiga risasi skies kawekwa kolokoroni,akisubiri maamuzi ya wazito!! Je kolokoroni siku hizo walikua wanaenda na siraha??Kakudanganya nani kwamba alijinyonga? Rudi shule ya "reasoning".
Hahaha! Haya maisha bhana, yule manzi aliuwawa aisee.. Hakujiuwa kwa utashi wake, na bado hakuja kuonekana tena kwenye movie ya Prison Break season 5, pamoja na kuwa aliomba msamaha ila akapigwa risasiKuna askari mmoja wa kike alipoteza msafara wa Kikwete, yule dada alijinyonga aisee.
Yaani unataka miongozo ya misafara ya Rais wetu iongozwe na satellites za US, Russia ama China...!?? Hilo haliwezekani. misafara ya rais wetu tunairatibu sisi...!! Usione zinatumika simu za 'land line' kuna maana yake wakati mwingine.Ni hatari kwa kweli ukiachana na mawasiliano basi hata ramani wameshindwa Kuwa nayo pia hivi Mishangingi kama ile inakosa TV pale mbele inayoonyesha Ramani!!!....
Sisi baaado sana
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Jamaa kaongea kweli yule manzi alijinyonga na alikua anaishi na mdogo wake. Kikwete akasema dogo asomeshweKakudanganya nani kwamba alijinyonga? Rudi shule ya "reasoning".
Lini trump alikosea njia ?Lakini wtz bado tume jaa na mawanzo ya kijamaa ....sasa unaona hilo nijambo kumbwa mnapenda sanaa kutukuza vitu....mbona hilo ni kawaida sanaa hata trump wanakosea njia au wanapata emergence nakujirekebisha acha mawanzo ya ujamaa buana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna meli za kivita za usa zilikuwa zinaenda north Korea tukaambiwa zimepotea ikabidi ziende Australiamkuu huko mbele kwa mabepari hakijawaki kutokea kitu kama hiki?
Kumpoteza nani sasa ? Mi nachojua kupoteza watu kiusalama ni pale rais anabadili the usual route basi. Sasa kujidai umebadili afu urudi si ndo kufa sasaTatizo ni pale msipoishi nchi zingine na hamuezi kujua ya hizo nchi zingine.yamkini ni jambo la kawaida tu au ni la kupoteza watu kiusalama.huwezi kujua yote kwa kuona kwa macho tu pasi kujua taratibu zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipotea au walikosea hebu badili Kichwa cha HabariKwa aina ya reasoning uliyotumia una jumuisha kuwa kila kupotea kwa msafara ni mbinu ya kupoteza watu kiusalama? siyo kila kosa ni mbinu mkuu
Hahahaha nimecheka mno. Ila sure mtukufu mwenyewe ata deal naeHuyo aliyehusika kuupoteza msafara wa mtukufu aanze kutoa wosia kwa ndugu zake, pia itapendeza zaidi kama atachagua na mahali pa kuzikwa.
Unakuja hapa unahema umekimbizwa?huelewi nilichosema?nani kakuthibitishia nilichosema ndivyo ilivyo?unakuja na mapovu una kifafa?wewe utabaki na mawazo yako juu ya hilo na mwingine na mfikra zake pia.na wote hatutakua na uhakika na kilichotikeaKumpoteza nani sasa ? Mi nachojua kupoteza watu kiusalama ni pale rais anabadili the usual route basi. Sasa kujidai umebadili afu urudi si ndo kufa sasa
Ngoja nikupe mfano wa ki usalama
Rais wa zaire alikua mara nyingi hafati route za msafara wake yani iaweza kua ilibidi gari zikate kushoto ila yeye anasema ziende kulia na kwenye msafara wake alikua anakaa mbele na hatumii njia moja mara mbili
So u got to admit it kwamba wale mnaowasifiaga sana humu.wamepotea mwanza that means they are not clever at all
Zile gari zina mpaka GPS afu TISS wenu wanapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu. Calm downUnakuja hapa unahema umekimbizwa?huelewi nilichosema?nani kakuthibitishia nilichosema ndivyo ilivyo?unakuja na mapovu una kifafa?wewe utabaki na mawazo yako juu ya hilo na mwingine na mfikra zake pia.na wote hatutakua na uhakika na kilichotikea
Sent using Jamii Forums mobile app