Msafara wa Raisi (Presidential Motorcade) kukosea njia! Hii imekaaje kiusalama?

Msafara wa Raisi (Presidential Motorcade) kukosea njia! Hii imekaaje kiusalama?

HAMNA PROTOCOAL ILIYOKOSEWA ILA NI WANA KITENGO WANAMTAFUTIA CHANCE WAMUONDOE KWENYE KITI...KILA MTU KAMCHOKA...HADI MIZIMU. SO HAMNA NAMNA. NA ASIJIDANGANYE AKAPANDA NDEGE...NA MAGARI NDO HIVYO YAMEANZA KUPINDUKA...KAZI ANAYO...
 
Kweli sisi ni mahodari wa kulalamika kwenye mitandao ,our no 1 kupotea njia ni news wakati kupoteza uelekeo kwa nchi sio news!,tuendelee kusubiri
 
Nimekumbuka yule askari polisi kule Tanga miaka ya nyuma alipoteza msafara, duuu!!!
 
Labda ni ile gari mpya ya mawasiliano iliyopo katika msafara wa Rais wataalam wake hawajaweza ku-master mitambo iliyopo mule. ( Aliyeona msafara wa Rais kwa siku hizi mbili atakubaliana nami )
Mkuu kwani wanao ongoza hiyo misafara ni magari ya mawasiliano ama Polisi wa Mkoa husika ?

Asalalee!
 
Ni hatari kwa kweli ukiachana na mawasiliano basi hata ramani wameshindwa Kuwa nayo pia hivi Mishangingi kama ile inakosa TV pale mbele inayoonyesha Ramani!!!....
Sisi baaado sana

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
wote hao ni wahamiaji waliopoka uongozi wa tanzania...MTANZANIA MZAWA HAWEZI KUPOTEA NJIA.
 
Heko wadau wa ulingo huu usio na mashabiki wengi.

Siku tatu zilizopita nilienda Mwanza kikazi, ndipo leo muda wa saa 4 au saa 5 asubuhi, tarehe 4 mwezi wa 9, 2018 nimeshuhudia kwa macho yangu msafara wa Raisi wa Tanzania ukikosea njia pale Mwanza kwenye Roundabout iliyoko karibu na BOT MWANZA.
View attachment 856842

Pamoja na kuwa walikuwepo askari wa usalama barabarani lakini nimeshangazwa kuona gari za mbele kusimama ghafla baada ya kuwa zimeingia junction ya Musoma road badala ya kunyooka na Airport road. Baada ya kusimama ghafla gari ya mbele ilipiga honi karibia mara nne, ambapo nafikiri ilimaanisha kutaka msaada wa kuelekezwa njia baada ya kukosea njia sahihi.

Ndipo mmoja wa askari kwenye gari la pili akashuka haraka na kumuonyeshea ishara ya kugeuza ili waendelee na Airport road. Wakati hayo yakiendelea ilibidi msafara wa gari za mbele usimame huku gari za nyuma zikipunguza mwendo kwa ghafla.

Baada ya kushuhudia tukio hilo nikabaki najiuliza maswali mengi, hivi kumbe somo la mawasiliano ni shida hata kwa taasisi nyeti ambazo zinaongoza msafara wa Raisi?


Je mawasiliano ya askari wa usalama barabarani yalikuwa hacked na kupoteza umakini wa taarifa na maelekezo?

Lakini pia nikajiuliza hili tukio kiusalama lina madhara gani?

Karibuni wadau.
AIBU SANA!.na hatari sana...huyo dereva anatakiwa afukuzwe haraka sana pamoja na bosi wake....hii ni untorelable mistake
 
Yaani unataka miongozo ya misafara ya Rais wetu iongozwe na satellites za US, Russia ama China...!?? Hilo haliwezekani. misafara ya rais wetu tunairatibu sisi...!! Usione zinatumika simu za 'land line' kuna maana yake wakati mwingine.
Hilo gari la mawasiliano mmelitengeneza nyie ? Hakuwezi kuwa na bugs ? Hiyo land-line yenyewe mmetengenezewa na wazungu halafu hapa sijui unajisifu nini

Kama hizo Satellites za Wazungu ,China nk hamtumii ya kwenu ni ipi mnayo itumia ?

Asalalee!
 
Labda ni ile gari mpya ya mawasiliano iliyopo katika msafara wa Rais wataalam wake hawajaweza ku-master mitambo iliyopo mule. ( Aliyeona msafara wa Rais kwa siku hizi mbili atakubaliana nami )
Mimi nakubaliana
 
Kwan juzi mwenyewe kasemaje? Si kasema kuwa yeye ni kichaa sasa unashangaaa nini?
 
Back
Top Bottom