Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama albadili IPO,basi waarabu wasingekuwa bize kujilipua hovyo.
Mkuu kwani wanao ongoza hiyo misafara ni magari ya mawasiliano ama Polisi wa Mkoa husika ?Labda ni ile gari mpya ya mawasiliano iliyopo katika msafara wa Rais wataalam wake hawajaweza ku-master mitambo iliyopo mule. ( Aliyeona msafara wa Rais kwa siku hizi mbili atakubaliana nami )
wote hao ni wahamiaji waliopoka uongozi wa tanzania...MTANZANIA MZAWA HAWEZI KUPOTEA NJIA.Ni hatari kwa kweli ukiachana na mawasiliano basi hata ramani wameshindwa Kuwa nayo pia hivi Mishangingi kama ile inakosa TV pale mbele inayoonyesha Ramani!!!....
Sisi baaado sana
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
AIBU SANA!.na hatari sana...huyo dereva anatakiwa afukuzwe haraka sana pamoja na bosi wake....hii ni untorelable mistakeHeko wadau wa ulingo huu usio na mashabiki wengi.
Siku tatu zilizopita nilienda Mwanza kikazi, ndipo leo muda wa saa 4 au saa 5 asubuhi, tarehe 4 mwezi wa 9, 2018 nimeshuhudia kwa macho yangu msafara wa Raisi wa Tanzania ukikosea njia pale Mwanza kwenye Roundabout iliyoko karibu na BOT MWANZA.
View attachment 856842
Pamoja na kuwa walikuwepo askari wa usalama barabarani lakini nimeshangazwa kuona gari za mbele kusimama ghafla baada ya kuwa zimeingia junction ya Musoma road badala ya kunyooka na Airport road. Baada ya kusimama ghafla gari ya mbele ilipiga honi karibia mara nne, ambapo nafikiri ilimaanisha kutaka msaada wa kuelekezwa njia baada ya kukosea njia sahihi.
Ndipo mmoja wa askari kwenye gari la pili akashuka haraka na kumuonyeshea ishara ya kugeuza ili waendelee na Airport road. Wakati hayo yakiendelea ilibidi msafara wa gari za mbele usimame huku gari za nyuma zikipunguza mwendo kwa ghafla.
Baada ya kushuhudia tukio hilo nikabaki najiuliza maswali mengi, hivi kumbe somo la mawasiliano ni shida hata kwa taasisi nyeti ambazo zinaongoza msafara wa Raisi?
Je mawasiliano ya askari wa usalama barabarani yalikuwa hacked na kupoteza umakini wa taarifa na maelekezo?
Lakini pia nikajiuliza hili tukio kiusalama lina madhara gani?
Karibuni wadau.
UKWELI NI KWAMBA ALINYONGWA...acha kupotoshaKuna askari mmoja wa kike alipoteza msafara wa Kikwete, yule dada alijinyonga aisee.
Kakudanganya nani kwamba alijinyonga? Rudi shule ya "reasoning".
Hilo gari la mawasiliano mmelitengeneza nyie ? Hakuwezi kuwa na bugs ? Hiyo land-line yenyewe mmetengenezewa na wazungu halafu hapa sijui unajisifu niniYaani unataka miongozo ya misafara ya Rais wetu iongozwe na satellites za US, Russia ama China...!?? Hilo haliwezekani. misafara ya rais wetu tunairatibu sisi...!! Usione zinatumika simu za 'land line' kuna maana yake wakati mwingine.
Kikwete au ni mkapa?Kuna askari mmoja wa kike alipoteza msafara wa Kikwete, yule dada alijinyonga aisee.
Kikwete au ni mkapa?Kuna askari mmoja wa kike alipoteza msafara wa Kikwete, yule dada alijinyonga aisee.
Mimi nakubalianaLabda ni ile gari mpya ya mawasiliano iliyopo katika msafara wa Rais wataalam wake hawajaweza ku-master mitambo iliyopo mule. ( Aliyeona msafara wa Rais kwa siku hizi mbili atakubaliana nami )
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2]Kama albadili IPO,basi waarabu wasingekuwa bize kujilipua hovyo.
Kikwete. Alijipiga risasi.Kikwete au ni mkapa?
Poa nilikuwa nakumbuka kuwa ni mkapa...Kikwete. Alijipiga risasi.
Angalia post za kwneye hii thread kuna member mmoja alikuwa anafahamiana na huyo askari aliyejiua
kick kwenye kupoteza msafara wa Rais??mwendelezo wa kiki na mbwembwe