Msafara wa Raisi (Presidential Motorcade) kukosea njia! Hii imekaaje kiusalama?

Labda ni ile gari mpya ya mawasiliano iliyopo katika msafara wa Rais wataalam wake hawajaweza ku-master mitambo iliyopo mule. ( Aliyeona msafara wa Rais kwa siku hizi mbili atakubaliana nami )
Nimepata kitu hapa, kumbe kuna gari mpya ya mawasiliano ilikuwa kwenye msafara mkuu? Inafanyaje kazi hiyo gari?
 
Lakini wtz bado tume jaa na mawanzo ya kijamaa ....sasa unaona hilo nijambo kumbwa mnapenda sanaa kutukuza vitu....mbona hilo ni kawaida sanaa hata trump wanakosea njia au wanapata emergence nakujirekebisha acha mawanzo ya ujamaa buana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taratibu mkuu, hili ni jukwaa la intelligence, ukiona jambo hili ni la kawaida basi ujue siyo saizi yako, tulia tu usome comments.
 
Tatizo ni pale msipoishi nchi zingine na hamuezi kujua ya hizo nchi zingine.yamkini ni jambo la kawaida tu au ni la kupoteza watu kiusalama.huwezi kujua yote kwa kuona kwa macho tu pasi kujua taratibu zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni pale msipoishi nchi zingine na hamuezi kujua ya hizo nchi zingine.yamkini ni jambo la kawaida tu au ni la kupoteza watu kiusalama.huwezi kujua yote kwa kuona kwa macho tu pasi kujua taratibu zao

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa aina ya reasoning uliyotumia una jumuisha kuwa kila kupotea kwa msafara ni mbinu ya kupoteza watu kiusalama? siyo kila kosa ni mbinu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…