Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Daah jamaa wanafanya vurugu Sana.
Ukichukua Sefu na Chadema, Sefu anamadhara makubwa kwa CCM kuliko Chadema.
Ni kwenye ushindi wa Sefu mwaka 2000 zaidi ya Wazanzibar 40 walifariki na wengine mpaka leo wako ukimbizini.
Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilisalimu amri Hadi kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilifuta matokeo ya Uchaguzi kupitia Mwenyekiti wa ZEC wakati huo Jecha....
Nyie Chadema mmewahi kufanya tukio gani la Kitaifa hadi serikali ya CCM ikasalimu amri.
kama una maanisha wana chadema wataondoka, hapo kweli, lakini watu wataendelea kuwepo kama kawaida tena wengi sanaCivilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Nafikiri ni sahihi kuwazuia kwani wangeweza kuamsha attention ya watu kutoka kwenye msiba na kuanza kumshangaa mgeni kutoka Ubelgiji ambaye alipona kufa kwa shambulio la risasi 16. Kuna uwezekano pia watu wangeanza kumshangilia pasipo kujitambua. Very good kuwazuia.Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
View attachment 1519379
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
Jana kulikuwepo na kiki gani? kumpokea mtu nayo ni kiki? au haujui matumizi ya kikiHawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Pole kwa kuabika na kuabishwa na uwapigiao upatu wa kuongoze. Utaratibu wa kuingia uwanja wa Taifa ulitolewa mapema jana. Kwa nini Chadema wamekiuka utaratibu huo!? Na bado una diriki kutamka /andika neno civilization!! Unajua uzito wa neno hili kweli. Ubaya wenu hamjui mnachokitaka.Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Unazungumzia ATCL?Huu haukuwa Msiba wa kawaida, Leo ilikuwa shughuli maalumu ndio maana itifaki zote zimefuatwa..
Na ilishatangazwa toka jana kuwa kama Kuna viongozi wa vyama vya siasa wanataka kwenda wapeleke taarifa Ila waingizwe kwenye ratiba.
Acheni kiki za Kijinga, Jana mambo yameenda vizuri kwenye mapokea ya Lisu Leo mmelikoroga nyie watu Sijui nani mshauri wenu.
ACT wanawaacha mbali Sana kwa busara nyie Sijui mnakwama wapi wakati nichama kikongwe kwenye siasa za Tanzania.
Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Je, walienda kwa dhania ya Kumuaga Rais Mstaafu Hayati Mzee Mkapa au walienda ili Kujitangaza zaidi Kisiasa na Kumuonyesha Mgeni Mwenyeji?
Subiri tutakuua wewe na wenzako ndipo CCM isalimu amri. Hao wazanzibar 40 waliouawa CCM wangekuwa na busara na kukubaliana na ukweli basi wasingekufa. Sasa ili CCM isalimu amri tutakuua wewe na wa aina yako ili wapatikane wengine 40 ndipo Chadema iwe kama Sefu kama akili zako zinavyowaza.Ukichukua Sefu na Chadema, Sefu anamadhara makubwa kwa CCM kuliko Chadema.
Ni kwenye ushindi wa Sefu mwaka 2000 zaidi ya Wazanzibar 40 walifariki na wengine mpaka leo wako ukimbizini.
Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilisalimu amri Hadi kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilifuta matokeo ya Uchaguzi kupitia Mwenyekiti wa ZEC wakati huo Jecha....
Nyie Chadema mmewahi kufanya tukio gani la Kitaifa hadi serikali ya CCM ikasalimu amri.
Wangewahi isingekuwa kiki tena. Hivi kweli unafikiri viongozi wa Chadema hawajui utaratibu? Kama mimi kapuku tangu niko shule najua utaratibu Rais akishaingia huwa hakuna tena kuingia sembuse hawa viongozi wa Chadema.Kama ni kuchelelwa.. sawa tu..
Balitakiwa kuwahi mapema, sio kuingia kutafuta kiki.
A
Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
View attachment 1519379
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
Aibu sana hii chadema sasa inazidiwa hata na Zitto mliyemuita msaliti.Subiri tutakuua wewe na wenzako ndipo CCM isalimu amri. Hao wazanzibar 40 waliouawa CCM wangekuwa na busara na kukubaliana na ukweli basi wasingekufa. Sasa ili CCM isalimu amri tutakuua wewe na wa aina yako ili wapatikane wengine 40 ndipo Chadema iwe kama Sefu kama akili zako zinavyowaza.
Akili za maccm bwana! Leo Magufuli anamsifia Mkapa ambaye alipokuwa hai alikuwa anasema hakuna kilichofanyika na sasa eti anainyoosha nchi hadi Mkapa akamsema hadharani! Leo anamsifia kwakuwa ni marehemu.
Walikuwa na siku zao special ambazo ni jana na juzi.Sasa wanazuia Viongozi wa chama kuuaga mwili jamani?