Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Tangazo la jana hawakulisikia? Msemaji wa Serikali Dr. Hassan Abas aliweka wazinutaratibu wa uingiaji uwanjani leo.
TAFAKURI
Kama maelezo mafupi Kama yale yanashindwa kutafsiriwa na watu wanaotaka kuchukua dola, hivi Mambo complex ya kuendesha nchi watawezana nayo kweli?
TAFAKURI
Kama maelezo mafupi Kama yale yanashindwa kutafsiriwa na watu wanaotaka kuchukua dola, hivi Mambo complex ya kuendesha nchi watawezana nayo kweli?