Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Tangazo la jana hawakulisikia? Msemaji wa Serikali Dr. Hassan Abas aliweka wazinutaratibu wa uingiaji uwanjani leo.

TAFAKURI
Kama maelezo mafupi Kama yale yanashindwa kutafsiriwa na watu wanaotaka kuchukua dola, hivi Mambo complex ya kuendesha nchi watawezana nayo kweli?
 
Ukichukua Sefu na Chadema, Sefu anamadhara makubwa kwa CCM kuliko Chadema.

Ni kwenye ushindi wa Sefu mwaka 2000 zaidi ya Wazanzibar 40 walifariki na wengine mpaka leo wako ukimbizini.

Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilisalimu amri Hadi kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilifuta matokeo ya Uchaguzi kupitia Mwenyekiti wa ZEC wakati huo Jecha....

Nyie Chadema mmewahi kufanya tukio gani la Kitaifa hadi serikali ya CCM ikasalimu amri.

Naona tu ‘nyie, nyie nyie’ unatumia nyie wewe ukiwa kundi lipi?
 
acha wafu wazike wafu wao, kashughulike na wahaya wenzako na tetemeko. sasa hivi hata ziwa victoria limefurika, shughulika na hayo!
 
Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!

Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.

Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.

Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.

Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.

Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
kama una maanisha wana chadema wataondoka, hapo kweli, lakini watu wataendelea kuwepo kama kawaida tena wengi sana
 
Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.

Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
View attachment 1519379
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
Nafikiri ni sahihi kuwazuia kwani wangeweza kuamsha attention ya watu kutoka kwenye msiba na kuanza kumshangaa mgeni kutoka Ubelgiji ambaye alipona kufa kwa shambulio la risasi 16. Kuna uwezekano pia watu wangeanza kumshangilia pasipo kujitambua. Very good kuwazuia.
 
Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!

Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.

Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.

Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.

Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.

Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Pole kwa kuabika na kuabishwa na uwapigiao upatu wa kuongoze. Utaratibu wa kuingia uwanja wa Taifa ulitolewa mapema jana. Kwa nini Chadema wamekiuka utaratibu huo!? Na bado una diriki kutamka /andika neno civilization!! Unajua uzito wa neno hili kweli. Ubaya wenu hamjui mnachokitaka.
 
Huu haukuwa Msiba wa kawaida, Leo ilikuwa shughuli maalumu ndio maana itifaki zote zimefuatwa..

Na ilishatangazwa toka jana kuwa kama Kuna viongozi wa vyama vya siasa wanataka kwenda wapeleke taarifa Ila waingizwe kwenye ratiba.

Acheni kiki za Kijinga, Jana mambo yameenda vizuri kwenye mapokea ya Lisu Leo mmelikoroga nyie watu Sijui nani mshauri wenu.

ACT wanawaacha mbali Sana kwa busara nyie Sijui mnakwama wapi wakati nichama kikongwe kwenye siasa za Tanzania.
Unazungumzia ATCL?
 
MaCCM na Magufuli yanateseka.

LISSU karudi nyumbani, hayaamini wanachokiona✌🏽✌🏽💪🏽💪🏽
 
Ukichukua Sefu na Chadema, Sefu anamadhara makubwa kwa CCM kuliko Chadema.

Ni kwenye ushindi wa Sefu mwaka 2000 zaidi ya Wazanzibar 40 walifariki na wengine mpaka leo wako ukimbizini.

Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilisalimu amri Hadi kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa.

Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilifuta matokeo ya Uchaguzi kupitia Mwenyekiti wa ZEC wakati huo Jecha....

Nyie Chadema mmewahi kufanya tukio gani la Kitaifa hadi serikali ya CCM ikasalimu amri.
Subiri tutakuua wewe na wenzako ndipo CCM isalimu amri. Hao wazanzibar 40 waliouawa CCM wangekuwa na busara na kukubaliana na ukweli basi wasingekufa. Sasa ili CCM isalimu amri tutakuua wewe na wa aina yako ili wapatikane wengine 40 ndipo Chadema iwe kama Sefu kama akili zako zinavyowaza.

Akili za maccm bwana! Leo Magufuli anamsifia Mkapa ambaye alipokuwa hai alikuwa anasema hakuna kilichofanyika na sasa eti anainyoosha nchi hadi Mkapa akamsema hadharani! Leo anamsifia kwakuwa ni marehemu.
 
Kama ni kuchelelwa.. sawa tu..
Balitakiwa kuwahi mapema, sio kuingia kutafuta kiki.
A
Wangewahi isingekuwa kiki tena. Hivi kweli unafikiri viongozi wa Chadema hawajui utaratibu? Kama mimi kapuku tangu niko shule najua utaratibu Rais akishaingia huwa hakuna tena kuingia sembuse hawa viongozi wa Chadema.
 
Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.

Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
View attachment 1519379
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.

Walikataziwa wapi? uliwekwa utaratibu kuwa viongozi na mabalozi waliandaliwa magari ya pamoja kwenda uwanja wa uhuru kwa shughuli za mazishi ya kitaifa ya mzee Mkapa. Na waliombwa sana wasitumie magari binafsi bali watumie hayo magari (mabasi) yaliyokuwa yameandaliwa. Lwa hiyo hawa ndugu wa Chadema walikatazwa kuingia kwenye hayo mabasi au walitaka special treatment waende na magari binafsi???
 
Subiri tutakuua wewe na wenzako ndipo CCM isalimu amri. Hao wazanzibar 40 waliouawa CCM wangekuwa na busara na kukubaliana na ukweli basi wasingekufa. Sasa ili CCM isalimu amri tutakuua wewe na wa aina yako ili wapatikane wengine 40 ndipo Chadema iwe kama Sefu kama akili zako zinavyowaza.

Akili za maccm bwana! Leo Magufuli anamsifia Mkapa ambaye alipokuwa hai alikuwa anasema hakuna kilichofanyika na sasa eti anainyoosha nchi hadi Mkapa akamsema hadharani! Leo anamsifia kwakuwa ni marehemu.
Aibu sana hii chadema sasa inazidiwa hata na Zitto mliyemuita msaliti.
 
Back
Top Bottom