idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Hawajazuiwa kuwa wao sio Watanzania, bali wamezui kwa kutofuata itifaki..Rais ameshaingia na anahutubia wao ndio wanaingia na msafara wao kwa mbwembwe.Kwa vile wao sio watanzaniaau?Aliewazuia hajielewi. Hapa duniani tunapita tu.
Upuuzi mkubwa Sana huo.