watu wanatembea na midudu mwiliniInamaana sisi huku tayari tunaogelea kwenye Ziwa la corona au ni uongo tu wa wakenya
Duh Tz ni mmoja tu si wanne, unachuki na nchi yako mzeeInamaana sisi huku tayari tunaogelea kwenye Ziwa la corona au ni uongo tu wa wakenya
Wanne walisafiri kutokea Tanzania
Ndivyo bandiko linavyosomekaDuh Tz ni mmoja tu si wanne, unachuki na nchi yako mzee
Wakenya wameshaanza kuichokonoa Tanzania
halafu mnakunywa panador ili msiugue au mnaroga???Inamaana sisi huku tayari tunaogelea kwenye Ziwa la corona au ni uongo tu wa wakenya
Nina imani kuna msaada fulani kutoka kwa alie juu
it will end in tears!!!Wale wa 'ostrich style: head in sand' hawataki kuona habari kama hizi, zina wakera kweli kweli.
Mimi nina wasiwasi sana na watu wanao hudumia wale waliowekwa 14 days quarantine.Haijaelezwa kaingia kivipi, itakua labda alikuja kabla ya lockdon na kuwekwa karantini
Wageni wanne, mmoja Tanzania, mwingine Africa Kusini, na kutokea UAE na Marekani.
hili ndio la kishukuru,na zaidi kuomba miujiza zaidi sio kujiuliza kwanini sisi hatutangazwi kuongezeka wagonjwa???Nina imani kuna msaada fulani kutoka kwa alie juu