Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172

Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172

Mwenyezi Mungu yupo pamoja nasi leo, kesho na hata milele daima! Tunakushukuru Mwenyezi Mungu kwa ulinzi wako
 
Idadi yetu haipo sawa,

Kwanza haturuhusiwi kuweka wazi pale tunapohisi kina mru ameamukizwa mpaka wizara tu. Wizara sometime nao mpaka 14 days. Sasa pale eneo husika ni mpaka 14 days je majirani mda wote wanakuwa ktk hali gani?

Hapa Moshi kuna mtu kapata kabisa huo ugonjwa na anatibiwa Dar. Kapita wapi na wapi ? Si hamasishi watu kuleta habari ila je kama kuna fununu wanachi wawe ktk hali gani?

Mh Rais tengeneza task force. Watuchape barabaraa pale panapokiwa na mikusanyiko na sio kituacha tu tunakula bata.

Rais wangu anajitahidi sana ila sisi bado hatupambani
 
Sio Muda mrefu ujao wakenya wataanza kufa kwa wingi kutokana na hofu ambayo itasababisha kinga mwili zao kushuka[emoji20][emoji20][emoji20][emm


Sent using Jami
 
Washaanza kuwashwa na Tanzania
Really? Aisee unahitaji kufanyiwa utafiti wa ubongo. Sio bure. Hili ni janga la kimataifa, si unaongea tu. Tuzidi kujitahidi kufuata maagizo ya wizara ya afya na pia W.H.O sio kujipa faraja za kijinga.
 
Pia Tanga. Cha msingi ni kuwa makini na kujilinda. Nawa mikono, epuka mikusanyiko, vaa mask unapotoka nje ya nyumba yako, na zaidi ya yote mtangulize Mungu. Mambo yatakuwa shwari. Ila wanaoongea bila kufikiri, Mungu awakumbuke.
Vipi na yule aliyepatikana kule Mwanza ?
 
Watanzania hatujui kinachoendelea duniani
 
Ukistaajabu ya Kenya kupata mgonjwa kutoka Tanzania wakati wamefunga mipaka, utayaona ya Tanzania mgonjwa wa Corona kupatikana Mwanza wakati katokea Dubai na kushukia JKNIA, alikaa karantini ya wapi for 14 days?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye uzi mwingine nimeandika, ninarudia kuandika tena na nitaendelea kuandika tirelessly.....

kuna tatizo mahali.

COVID-19 detection rate hapa Tanganyika ni ndogo sana ukilinganisha na nchi zinazoizunguka in demographically relative terms.

Tanganyika ndiyo the most populated kulinganisha na majirani zake, yet detection rate ipo very low. this beats logic in its entirety kwani si kwamba Tanganyika ina mikakati yoyote iliyo imara kuliko majirani zake hawa katika kupunguza maambukizi, hasha!

hii ina maana moja tu... kuwa Tanganyika kuna usiri mkubwa sana kuhusu janga hili, which's going to be a costly gamble in the long run.

kimahesabu, kwa kigezo cha detection rate ya Zanzibar yenye population ya wakaazi 700,000, kadirio sahihi la Corona cases huku Tanganyika ni wagonjwa zaidi ya 500 huko.

kuna tatizo mahali!
According to Mange si yo?
 
Tanzania mnafanya uzembe ambao utawagharimu sana, mgonjwa wa Corona anapatikana Mwanza, ameingia kutoka Dubai na kuzuga siku sita Dar, kisha akasafiri hadi Mwanzaa, kote huko anatema mbegu tu. Wengine wametokea Tanga na kwenda kuambukiza Zanzibar.
Sasa huyu ametokea Tanzania na kuja na kirusi huku Kenya.
 
Tanzania mnafanya uzembe ambao utawagharimu sana, mgonjwa wa Corona anapatikana Mwanza, ameingia kutoka Dubai na kuzuga siku sita Dar, kisha akasafiri hadi Mwanzaa, kote huko anatema mbegu tu. Wengine wametokea Tanga na kwenda kuambukiza Zanzibar.
Sasa huyu ametokea Tanzania na kuja na kirusi huku Kenya.
But si mumefunga mipaka? Why crying ?
 
Back
Top Bottom