Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Keshakuwa mkenya huyo tayari...sisi kwetu wagonjwa 24 tuuu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ITV nao hawaaminiki?!Usiwaa amini sana wa Kenya, hao ni washindani wetu karibia kwenye kila sekta, wanaweza kutuzushia lolote, inawezekana ikawa kweli au ya ‘kupikwa’
Hasira za nini?Eleza vizur unapotosha ili upate wachangiaji au?, yule wazir amesema amekuwa akisafir nchi tofauti tofauti, ikiwemo Tanzania, wewe moja kwa moja mbona unamuhusisha na Tz, si Uandike yaliyosemwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tumegee habari kamili chiefEleza vizur unapotosha ili upate wachangiaji au?, yule wazir amesema amekuwa akisafir nchi tofauti tofauti, ikiwemo Tanzania, wewe moja kwa moja mbona unamuhusisha na Tz, si Uandike yaliyosemwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka wewe hiyo nukuu hili ni jukwaa huru bwashee!Hebu nukuu kiongozi wa Kenya kama alivyosema,
Hao jamaa hata wakisikia kwetu watu wamwkufa maji wanaweza kuzamisha wao ilimradi watuzidi tuUsiwaa amini sana wa Kenya, hao ni washindani wetu karibia kwenye kila sekta, wanaweza kutuzushia lolote, inawezekana ikawa kweli au ya ‘kupikwa’
Ukiambiwa tuna wagonjwa 1000 ndio utasema tuko serious?Nchi yetu sasa imegeuka wazalishaji wa wagonjwa wa Corona, hata sishangai kwasababu hatupo serious enough kwenye kukabiliana na huu ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye uzi mwingine nimeandika, ninarudia kuandika tena na nitaendelea kuandika tirelessly.....Waziri wa afya wa Kenya amesema katika muda wa saa 24 kumekuwa na ongezeko la wagonjwa 14 wa Covid 19 kutokana na sampuli 156 zilizopimwa.
Waziri huyo amesema miongoni mwa wagonjwa hao wapya 14 yupo mtanzania mmoja aliyeingia Kenya akitokea Tanzania.
Source ITV habari!
Hahahaaaaa........ Duh walimwengu mna maneno!Hao jamaa hata wakisikia kwetu watu wamwkufa maji wanaweza kuzamisha wao ilimradi watuzidi tu
Hiv Kenya unailinganisha na Tz kwa kipi. Kwanini unslinganisha simba na polisi fc?Usiwaa amini sana wa Kenya, hao ni washindani wetu karibia kwenye kila sekta, wanaweza kutuzushia lolote, inawezekana ikawa kweli au ya ‘kupikwa’
Acha ’inferiority complex’ hayo mambo ya kujihisi mnyonge mnyonge yatoe kabisa kichwani mwako, kenya wa nini cha kunyanyasa akili na uwezo wako?Hiv Kenya unailinganisha na Tz kwa kipi. Kwanini unslinganisha simba na polisi fc?
Sent using Jamii Forums mobile app