MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mpaka baina ya Kenya na Tanzania mpana sana, pia tunachangia makabila huko, ni vigumu kuufunga wote, lazima mtapata mpenyo wa kutuletea kirusi.But si mumefunga mipaka? Why crying ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka baina ya Kenya na Tanzania mpana sana, pia tunachangia makabila huko, ni vigumu kuufunga wote, lazima mtapata mpenyo wa kutuletea kirusi.But si mumefunga mipaka? Why crying ?
Wakenya wameshaanza kuichokonoa Tanzania
Hahha hii ni baseless reason.Mpaka baina ya Kenya na Tanzania mpana sana, pia tunachangia makabila huko, ni vigumu kuufunga wote, lazima mtapata mpenyo wa kutuletea kirusi.
Hahha hii ni baseless reason.
Tuangalie upande wetuTangu corona iingie duniani kuna watu akili zimeisha kabisa. Lockdown ya nini? Na serikali itajuaje nyendo zako kama humu tu unatumia jina feki sembuse huyo mgonjwa aliyekutwa kenya(wao wamefunga mipaka kaingiaje huko?)
Hivi huwa huwazi mambo mengine zaidi ya lockdown... Inabidi tukupuuze sasa
Nasemea kwetu sisi kwa nini Tanzania isifunge mipaka ili kuzuia movement ambazo zitasambaza virusUzi umeongelea mgonjwa aliyepo kenya so umeshahusisha na majirani. Kama wamefunga mpaka alifikaje huko?
Watu mna akili za ovyo humuHata huko kudanga unapotegemea ikija lockdown hakuna mwanaume atakayekutumia pesa
Sent using IPhone X
Ngoja nimjibie. Mwenye akili zako muda huu ungekua maabara unatutafutia tiba ya corona badala ya kuwaza lockdownNasemea kwetu sisi kwa nini Tanzania isifunge mipaka ili kuzuia movement ambazo zitasambaza virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya hawajafunga mipaka? kama wamefunga huyo mgonjwa kaingiaje?Nasemea kwetu sisi kwa nini Tanzania isifunge mipaka ili kuzuia movement ambazo zitasambaza virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasiwasi wenu tuWakenya wameshaanza kuichokonoa Tanzania
Watueleze vizuri wamefunga mipaka hao wanapita wapi?Tangu corona iingie duniani kuna watu akili zimeisha kabisa. Lockdown ya nini? Na serikali itajuaje nyendo zako kama humu tu unatumia jina feki sembuse huyo mgonjwa aliyekutwa kenya(wao wamefunga mipaka kaingiaje huko?)