Msaga Sumu: Mwanaume mashine imeniletea mgogoro mkubwa kwenye ndoa yangu

Hahahahahahah mkuu kama una kimboga cha majani jiongeze
 
hahhaha mmeelew kwanini wanawake hawaitaji nguvu za kupigana sasa wimbo tu unakutoa roho
 
Anataka umpige machine ipasavyo mbona liko openly hilo bro

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ayaaa! Mkuu vp mtarimbo wako uko fresh??[emoji38] [emoji23] au umefanya rust??
Hiyo nyimbo ni dedivation kwako[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Mafumbo hayo sheikh wangu, hapo inaonesha una kakibamia!!!
Mambo ya ndoa yana changamoto sana, ukioa aliyukuwa anajiuza na kapitiwa kila aina ya mipingo unaweza kukutana na hayo mafumbo na lazima jirani anahusika. Kama hamjaishi nae muda mrefu achana nae katafute type yako.
 
Apana mkuu Nina shaft ya nguvu

Post sent using JamiiForums mobile app
Co kuwa na shaft tu kazi inapigwa? tusijisahau na mihogo ya jang'ombe watt wanataka show!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nimejaribu kuipeleka hii jukwaa la wakubwa lakini naona nimeshindwa sijui kwa nini wakati mm ni member kule... okey siyo shida sana kwa sababu nadhani haitakuwa na maneno makali naomba niulize, Kuna wimbo unaimbwa sana siku hz unaitwa mwanaume mashine... mbona maneno yaliyokuwa yakisifika mitaani kabla ya wimbo huo ni mwanamke mashine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…