Msaidie mwanaume mwenzako

Msaidie mwanaume mwenzako

Mi nasaidiaga wakiume tu kwanza , mwanamke hata ukimsaidia Hana msada kwako hata kidogo,,mfano unataka sehemu ya kulala ugenini umemkuta mwanamke uliemsaidia ameolewa atakusaidia sehemu ya kujihifadhi simpaka mumewe atoe ruhusa !?,saidia mwanaume mwenZako maana huijui kesho yako
Aparty from pussy most of women provide nothing, most of them are absolutely liabilities in man's life.
 
Bora leo uwaambie hawa wanaumee wenzio ukweli ili akili iwakae sawa!!
Hakuna watu wanafiki na wabinafsi km wanaume wa Bongo, huwaga najiuliza huo urafiki na ushikaji una maana gani sasa km hakuna kupigana tafu au kukwamuana pale m1 anapokwamaa.

Kuna scenario hii,

Akati niko Chuo, kunae mates walikua na ushikaji, ilikua km mtu 3 yaan hawa walishibana haswaa, vimbweta wako wote, discssn walikua Pa1, hivyo yaan.
Sasa kunae m1 alipatwa na tatizo, wale wawili wakawa wanampa faraja ya maneno bila msaada, na akat mwenzao anataka msaada, achilia hawa washikaji zake, hawa wengine class mate, yaan wanaona mwanaume mwenzao anahitaji kukwamuliwa, lakini wanaishia kumpa maneno ya faraja tyuuh,

Kiukweli nilikua najisikia vibaya na kumuonea huruma mno yule kaka, ilifikia hatua nkaamua nimsaidie kwa kuwa tatizo lake lilikua ndani ya uwezo wangu, nika mkwamua kutoka kwenye tatizo na kuwa kwenye sawa na amani, maisha yakaendelea.

Sasa ikafika kuna wakati mdada alipata shida, alijaribu kuomba msaada, namna wanaume walivyokua wanajitoa kwake, Woiiiiih
Aseeeh nlishtukaa na kustaajabu sio km wale ambao walimuacha mwanaume mwenzao ahangaike.

Wanaume wa Bongo acheni ushikaji na urafiki wa kinafikii.
Kuna washkaji wengine sio kabisa.
 
Unakuta hata mwizi wa kike akikamatwa sio rahisi kuuwawa kama akikamatwa mwanaume , kuchomwa moto ni fasta, mimi naona ni nature inawabeba wanawake kutokana na gharama kubwa wanayoitoa kwenye uzazi .
Umetoa mfano hai. Nakumbuka kitaa alikamatwa mwizi mwanamke anaiba nguo kambani tukamtandika vibao viwili vitatu wakatokea wamama wanatukalipia kwamba tumuache mpaka anaiba ana shida katika kuhojiwa yule dada mwizi akashusha story ya simanzi pale wale wakina mama wakamchangia unga, mchele, maharage n.k wakamwambie arudi nyumbani, zimepita siku kadhaa katokea mwizi wa kiume hawa washkaji wanapaka rangi kucha za mademu jamaa wawili wameingia saluni kuwapaka paka rangi kwenye kucha wakati wa kuondoka mmoja kapita na simu wakina mama wameshtukia wakapiga kelele za mwizi vijana tukapotezea tu kama hatujasikia chochote tukawaacha hao kina mama wamkate wao wenyewe wampige au lah basi nae wamchangie mchele na unga akale kwa famikia yake basi wale washkaji hao mdogo mdogo wakapanda zao bodaboda wakasepa na simu kiulahini tu.
 
Mimi huwa nasema kila siku kama kuna zama ambazo wanaume wanapaswa kuangaliana kwa ukaribu na kupeana support katika mazingira yoyote yale, basi ni zama hizi tulizo nazo sasa ambapo jamii na dunia kwa ujumla inamuona mwanaume kama second class being au kiumbe kisichofaa kupewa attention yoyote ile.

It's obvious we currently live in gynocentric world where men are plausibly marginalized and no one gives poos about them just because they are "men".

Wanume wanapitia chagamoto nyingi sana za kimaisha na wanategemewa changamoto hizo wazitatue wao wenyewe pasipo kupewa msaada wala kulalamika, hata kama ziko nje ya uwezo wao. Na matokeo yake wakishindwa kuzitatua wanaishia kuugua sonona na hatimae kujiua, na hakuna anayejali.

Guys Ukiona mwanaume mwenzio anapitia changamoto yoyote ile na ameshindwa kuitatua, kama iko ndani ya uwezo wako please usisite kumsaidia hata kama hamfahamiani wala hamjawahi kuonana sehemu yoyote ile....

Hii dunia ya sasa sio rafiki kabisa kwa mwanaume na mtu pekee wa kumsaidia mwanaume ni Mungu na wewe mwanaume mwenzie tu basii....

Tofauti kabisa na mwanamke ambaye hata akipiga chafya tu anapata msaada kila kona.

Binafsi yangu niliishaacha siku nyingi sana kujipendekeza na kusaidia saidia wanawake ovyo, maana hata wao wenyewe hawanaga msaada kwa wanaume na hata hao wanaowasaidia wao hawana msaada kwa wanaume....sasa ya nini mmi niwe mmoja wa watu wanaowapa msaada na wakati kuna rundo la watu na taasisi ambazo tayari zinawapa msaada muda wowote wanapohitaji?

Msaada(japo ni kidogo) wangu nitatoa kwa watu(wanaume wenzangu) ambao hawana watu wa kuwasaidia...

Na nna uhakika kwa kufanya hivi hata Mungu nae anashusha baraka zake.... maana dunia ya sasa ilivyo si vile Mungu alikusudia iwe, kitendo cha kumshusha Mwanaume na kumu elevate mwanamke ni chukizo kubwa sna kwa Mungu ila binadamu wengi wa kileo hawajui....

Sasa hivi kuna project proposal naiandaa ambayo endapo kama mambo yakienda vizuri basi nitapata ufadhili wa $80,000 kutoka kwenye shirika moja wapo la kigeni linalotoa misaada kwa ajili ya kukamilisha miradi mbali mbali ya kimaendeleo hapa africa.

Nimepanga kukipeleka hicho kiasi cha fedha kwenye kilimo ambapo nitahitaji vijana waliohitimu fani mbali mbali kwenye sekta ya kilimo wapatao 90 na wote watakuwa ni vijana wa Kiume hakuna mwanamke hata mmoja atakaye kuwepo kwenye project yangu.

Ni ukweli uliowaza ukimsadia mwanaume umeisadia jamii, maana yeye ndio nguzo na akiyumba kiuchumba basi jamii nzima itakuwa ya ovyo kama ilivyo sasa.

Mleta mada nakupa big up sana kwa mada nzuri ya kukumbushana.
 
Umetoa mfano hai. Nakumbuka kitaa alikamatwa mwizi mwanamke anaiba nguo kambani tukamtandika vibao viwili vitatu wakatokea wamama wanatukalipia kwamba tumuache mpaka anaiba ana shida katika kuhojiwa yule dada mwizi akashusha story ya simanzi pale wale wakina mama wakamchangia unga, mchele, maharage n.k wakamwambie arudi nyumbani, zimepita siku kadhaa katokea mwizi wa kiume hawa washkaji wanapaka rangi kucha za mademu jamaa wawili wameingia saluni kuwapaka paka rangi kwenye kucha wakati wa kuondoka mmoja kapita na simu wakina mama wameshtukia wakapiga kelele za mwizi vijana tukapotezea tu kama hatujasikia chochote tukawaacha hao kina mama wamkate wao wenyewe wampige au lah basi nae wamchangie mchele na unga akale kwa famikia yake basi wale washkaji hao mdogo mdogo wakapanda zao bodaboda wakasepa na simu kiulahini tu.
Vaibu sana
 
Umetoa mfano hai. Nakumbuka kitaa alikamatwa mwizi mwanamke anaiba nguo kambani tukamtandika vibao viwili vitatu wakatokea wamama wanatukalipia kwamba tumuache mpaka anaiba ana shida katika kuhojiwa yule dada mwizi akashusha story ya simanzi pale wale wakina mama wakamchangia unga, mchele, maharage n.k wakamwambie arudi nyumbani, zimepita siku kadhaa katokea mwizi wa kiume hawa washkaji wanapaka rangi kucha za mademu jamaa wawili wameingia saluni kuwapaka paka rangi kwenye kucha wakati wa kuondoka mmoja kapita na simu wakina mama wameshtukia wakapiga kelele za mwizi vijana tukapotezea tu kama hatujasikia chochote tukawaacha hao kina mama wamkate wao wenyewe wampige au lah basi nae wamchangie mchele na unga akale kwa famikia yake basi wale washkaji hao mdogo mdogo wakapanda zao bodaboda wakasepa na simu kiulahini tu.
😁😁 noma sana mkuu
 
Umetoa mfano hai. Nakumbuka kitaa alikamatwa mwizi mwanamke anaiba nguo kambani tukamtandika vibao viwili vitatu wakatokea wamama wanatukalipia kwamba tumuache mpaka anaiba ana shida katika kuhojiwa yule dada mwizi akashusha story ya simanzi pale wale wakina mama wakamchangia unga, mchele, maharage n.k wakamwambie arudi nyumbani, zimepita siku kadhaa katokea mwizi wa kiume hawa washkaji wanapaka rangi kucha za mademu jamaa wawili wameingia saluni kuwapaka paka rangi kwenye kucha wakati wa kuondoka mmoja kapita na simu wakina mama wameshtukia wakapiga kelele za mwizi vijana tukapotezea tu kama hatujasikia chochote tukawaacha hao kina mama wamkate wao wenyewe wampige au lah basi nae wamchangie mchele na unga akale kwa famikia yake basi wale washkaji hao mdogo mdogo wakapanda zao bodaboda wakasepa na simu kiulahini tu.
Vaibu
Mimi huwa nasema kila siku kama kuna zama ambazo wanaume wanapaswa kuangaliana kwa ukaribu na kupeana support katika mazingira yoyote yale, basi ni zama hizi tulizo nazo sasa ambapo jamii na dunia kwa ujumla inamuona mwanaume kama second class being au kiumbe kisichofaa kupewa attention yoyote ile.

It's obvious we currently live in gynocentric world where men are plausibly marginalized and no one gives poos about them just because they are "men".

Wanume wanapitia chagamoto nyingi sana za kimaisha na wanategemewa changamoto hizo wazitatue wao wenyewe pasipo kupewa msaada wala kulalamika, hata kama ziko nje ya uwezo wao. Na matokeo yake wakishindwa kuzitatua wanaishia kuugua sonona na hatimae kujiua, na hakuna anayejali.

Guys Ukiona mwanaume mwenzio anapitia changamoto yoyote ile na ameshindwa kuitatua, kama iko ndani ya uwezo wako please usisite kumsaidia hata kama hamfahamiani wala hamjawahi kuonana sehemu yoyote ile....

Hii dunia ya sasa sio rafiki kabisa kwa mwanaume na mtu pekee wa kumsaidia mwanaume ni Mungu na wewe mwanaume mwenzie tu basii....

Tofauti kabisa na mwanamke ambaye hata akipiga chafya tu anapata msaada kila kona.

Binafsi yangu niliishaacha siku nyingi sana kujipendekeza na kusaidia saidia wanawake ovyo, maana hata wao wenyewe hawanaga msaada kwa wanaume na hata hao wanaowasaidia wao hawana msaada kwa wanaume....sasa ya nini mmi niwe mmoja wa watu wanaowapa msaada na wakati kuna rundo la watu na taasisi ambazo tayari zinawapa msaada muda wowote wanapohitaji?

Msaada(japo ni kidogo) wangu nitatoa kwa watu(wanaume wenzangu) ambao hawana watu wa kuwasaidia...

Na nna uhakika kwa kufanya hivi hata Mungu nae anashusha baraka zake.... maana dunia ya sasa ilivyo si vile Mungu alikusudia iwe, kitendo cha kumshusha Mwanaume na kumu elevate mwanamke ni chukizo kubwa sna kwa Mungu ila binadamu wengi wa kileo hawajui....

Sasa hivi kuna project proposal naiandaa ambayo endapo kama mambo yakienda vizuri basi nitapata ufadhili wa $80,000 kutoka kwenye shirika moja wapo la kigeni linalotoa misaada kwa ajili ya kukamilisha miradi mbali mbali ya kimaendeleo hapa africa.

Nimepanga kukipeleka hicho kiasi cha fedha kwenye kilimo ambapo nitahitaji vijana waliohitimu fani mbali mbali kwenye sekta ya kilimo wapatao 90 na wote watakuwa ni vijana wa Kiume hakuna mwanamke hata mmoja atakaye kuwepo kwenye project yangu.

Ni ukweli uliowaza ukimsadia mwanaume umeisadia jamii, maana yeye ndio nguzo na akiyumba kiuchumba basi jamii nzima itakuwa ya ovyo kama ilivyo sasa.

Mleta mada nakupa big up sana kwa mada nzuri ya kukumbushana.
Mungu akubless bloodie
 
Unakuta hata mwizi wa kike akikamatwa sio rahisi kuuwawa kama akikamatwa mwanaume , kuchomwa moto ni fasta, mimi naona ni nature inawabeba wanawake kutokana na gharama kubwa wanayoitoa kwenye uzazi .
Yaan nikionaga neno nature linakuja kwenye jambo ambalo hata halihusiki nakerekwa? Sasa km nature si ingekua inakuja na suluhisho?

Ndo maana wanaume wanakufa mapema, kwa kusingizia nature uchwaraa, Lol
 
Yaan nikionaga neno nature linakuja kwenye jambo ambalo hata halihusiki nakerekwa? Sasa km nature si ingekua inakuja na suluhisho?

Ndo maana wanaume wanakufa mapema, kwa kusingizia nature uchwaraa, Lol
😁 hata vitani zaman ilikua sio busara wanawake Wakafie vitani
 
Back
Top Bottom