Msaidieni huyu, miaka 23 hajawahi kukubaliwa

Msaidieni huyu, miaka 23 hajawahi kukubaliwa

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
3,977
Reaction score
5,339
Wakuu habarini, nina ndugu yangu toka kuzaliwa ana komwe, sasa ana miaka 23 now na anatamani sana kunyoa haircuts za kisasa, imekuwa changamoto kwake, jamani hivi dawa ya kuondoa komwe mwaifahamu? Yaani anakataliwa mno, hajawahi kukubaliwa na msichana mpaka umri huu. Yupo tu home hapa, muda mwingine anaamka usiku analia peke yake, namuonea huruma sana.

Huwa namfariji sometimes kuwa atakaa sawa, naombeni dawa ya kuondoa komwe jamani, hali si shwari hairidhishi.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
kukaa na mtu analia usiku utamuonea tu huruma,nikiwa chuo kuna room mate alikua analia sana usiku anakaa kitandani,ilibidi nimstue manzi fulani awe anakuja analala na jamaa mule ndani ndio jamaa akawa halii,msela yule alikuwa na matatizo mengi sana
Kama yapi mkuu ??
 
kukaa na mtu analia usiku utamuonea tu huruma,nikiwa chuo kuna room mate alikua analia sana usiku anakaa kitandani,ilibidi nimstue manzi fulani awe anakuja analala na jamaa mule ndani ndio jamaa akawa halii,msela yule alikuwa na matatizo mengi sana
Ulitumia uungwana sana, alikuwa anatoka familia duni?

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habarini, nina ndugu yangu toka kuzaliwa ana komwe, sasa ana miaka 23 now na anatamani sana kunyoa haircuts za kisasa, imekuwa changamoto kwake, jamani hivi dawa ya kuondoa komwe mwaifahamu? Yaani anakataliwa mno, hajawahi kukubaliwa na msichana mpaka umri huu. Yupo tu home hapa, muda mwingine anaamka usiku analia peke yake, namuonea huruma sana.

Huwa namfariji sometimes kuwa atakaa sawa, naombeni dawa ya kuondoa komwe jamani, hali si shwari hairidhishi.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Komwe haliondoki, huo ni mfupa mzee
 
Wakuu habarini, nina ndugu yangu toka kuzaliwa ana komwe, sasa ana miaka 23 now na anatamani sana kunyoa haircuts za kisasa, imekuwa changamoto kwake, jamani hivi dawa ya kuondoa komwe mwaifahamu? Yaani anakataliwa mno, hajawahi kukubaliwa na msichana mpaka umri huu. Yupo tu home hapa, muda mwingine anaamka usiku analia peke yake, namuonea huruma sana.

Huwa namfariji sometimes kuwa atakaa sawa, naombeni dawa ya kuondoa komwe jamani, hali si shwari hairidhishi.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Hahahahahahah niunganishe nae mimi nimfariji
 
Back
Top Bottom