Msaidieni huyu, miaka 23 hajawahi kukubaliwa

Msaidieni huyu, miaka 23 hajawahi kukubaliwa

Mwambie avae wigi hebu acheni kusumbuliwa na mambo yasiyokua na suluhisho halafu sio yamsingi
 
Hapo achague Moja; ajikubali tu au aishi bila Dem mazima[emoji23]

Mbona uncle magu alikua na komwe na alikua na mke...
Au ana yale makomwe nyundo yako kama kidogo[emoji23]
 
Mwambie atafute pesa kwanza hao wanaomkataa watakuja na kumwita hendisam boi.
 
Jamaa atufute pesa kwa hasira, ckuiz pesa ndio dawa ya Wanawake
 
Bro kama komwe ni kubwa sana hata pesa sio dawa.....itabidi aokoke tu aache mambo ya dunia
[emoji38][emoji38][emoji38] kwa hiyo hata ukiwa na hela unakataliwa na komwe lako? Mbona kama unawasemea wanawake?
 
[emoji38][emoji38][emoji38] kwa hiyo hata ukiwa na hela unakataliwa na komwe lako? Mbona kama unawasemea wanawake?
Nasema yaani kama komwe ni kubwa mpaka mtu akimtazama atahisi ana shida ya afya....tofauti na hapo, jamaa hajikubali tu
 
Dawa ya komwe ni kuvaa kofia au mzula mda wote kichwani
 
Back
Top Bottom