Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshukuru Mungu tu mkuu, sio ya msingi kwakuwa hayaja kukutaMwambie avae wigi hebu acheni kusumbuliwa na mambo yasiyokua na suluhisho halafu sio yamsingi
Bro kama komwe ni kubwa sana hata pesa sio dawa.....itabidi aokoke tu aache mambo ya duniaJamaa atufute pesa kwa hasira, ckuiz pesa ndio dawa ya Wanawake
[emoji38][emoji38][emoji38] kwa hiyo hata ukiwa na hela unakataliwa na komwe lako? Mbona kama unawasemea wanawake?Bro kama komwe ni kubwa sana hata pesa sio dawa.....itabidi aokoke tu aache mambo ya dunia
Nasema yaani kama komwe ni kubwa mpaka mtu akimtazama atahisi ana shida ya afya....tofauti na hapo, jamaa hajikubali tu[emoji38][emoji38][emoji38] kwa hiyo hata ukiwa na hela unakataliwa na komwe lako? Mbona kama unawasemea wanawake?