Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,259
- 2,971
Hiv komwe ndo nini?maana yawezkana hata mimi nnalo sema cjui....au ndo ugonjwa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuone ukubwa wa hilo komwe, anaweza pata suluhisho la kupunguza. Mie nilipunguza ya mwana mmoja kitaa... Mpaka kesho yupo kama mzenji na anachimba mademu wengi tuWakuu habarini, nina ndugu yangu toka kuzaliwa ana komwe, sasa ana miaka 23 now na anatamani sana kunyoa haircuts za kisasa, imekuwa changamoto kwake, jamani hivi dawa ya kuondoa komwe mwaifahamu? Yaani anakataliwa mno, hajawahi kukubaliwa na msichana mpaka umri huu. Yupo tu home hapa, muda mwingine anaamka usiku analia peke yake, namuonea huruma sana.
Huwa namfariji sometimes kuwa atakaa sawa, naombeni dawa ya kuondoa komwe jamani, hali si shwari hairidhishi.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Heshima Yako Mkuu.“Mwambie huyo mtoto atafute elimu na pesa” Mkuu umenifurahisha sana[emoji1430][emoji1430]Umeongea kifaza sana!!
Hela ninayo, komwe sina, nina mke na hajanipendea hela, mwisho kumpa ni 10kSiyo ndugu yako wala nini niwewe mwenyewe"""Amna dawa ya kutowa komwe labda ufanye plastic surgery ila cha msingi tafuta ela maana wanawake wanazipenda mno
Nywele zinaanzia karibu na utosini!Hiv komwe ndo nini?maana yawezkana hata mimi nnalo sema cjui....au ndo ugonjwa gani?
Wanafuata hela zake, mademu hawana formula, unaweza kuwa na kichwa kibaya, unanuna nuna, huna hela ya kutosha, hutupii pamba kali na ukawapata tena high class!Pole sana ndugu. Kikubwa jikubali tu kuwa msafi, nyoa vizuri, vaa pendeza ,tupia pamba kali, saa, perfume ,.Usiwe mtu wa kununa nuna mbele ya mademu .
Mm kuna jamaa yangu anaupaa kichwani na bado kijana unamkosesha raha ila anavyojiweka nadhifu mademu kama wote
Kama nywele kuanzia utosini si ni kipara, au kipara na komwe n vitu viwili tofauti.??
Kipara huzaliwi nacho, komwe unazaliwa ukiwa nalo.Kama nywele kuanzia utosini si ni kipara, au kipara na komwe n vitu viwili tofauti.??
Endelea kujidanganya.Wanafuata hela zake, mademu hawana formula, unaweza kuwa na kichwa kibaya, unanuna nuna, huna hela ya kutosha, hutupii pamba kali na ukawapata tena high class!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Hao ndio wanachukuaga mademu wakali sasa, rough men, careless wanaishi wanavyotaka, wagumu n.k, ninyi mnaojifanya wazee wa kutupia ndio mnawapata manungayembe tu!Endelea kujidanganya.
Ushauri nimempa jamaa kutokana na alivyo jieleza,.Unadhifu unaficha mengi, Kama wewe ni mchafu mchafu uko rafu muda wote utapa wakuendana nae
Sawa endelea kunuka kikwapa na hilo komwe mbona utawapata hadi basi .Hao ndio wanachukuaga mademu wakali sasa, rough men, careless wanaishi wanavyotaka, wagumu n.k, ninyi mnaojifanya wazee wa kutupia ndio mnawapata manungayembe tu!
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Don't confuse things, unaweza kuwa rough kimavazi ila usinuke kikwapa. You can be rough but not dirty, nazungumzia u rough kama huo, sio unakuwa rough mara unatoa harufu za ajabu, nguo chafu n.k, hapana. Umeelewa?Sawa endelea kunuka kikwapa na hilo komwe mbona utawapata hadi basi .