Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
- Thread starter
- #41
Sidhani, nafikiri hako kasichana kalikuwa kamalaya Fulani ka chuo. Kwa nini hukumpa wewe company?[emoji28],mkuu yule alimsaidia kumpa kampani,walikuwa wanapiga stories usiku kucha,hapakuwa na mahusiano,ilimsaidia tu jamaa kukaa bila kulia
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app