Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ajitahidi kutafuta hela tu, vip linazidi la hakika ruben?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama n kweli
Angalia picha zake nyingine utaona hana komwe!Sidhani kama n kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Komwe haliondoki, huo ni mfupa mzee
Unacho? Serious? Mchagga wewe?Mwambie aache kulia lia, mie mbona nina ki komwe changu lakini nadunda na usiku nalala usingizi mzuuuuri..
ya kifamilia,Home kwao kulikuwa na migogoro mkuuKama yapi mkuu ??
Hata si mchanga, tena mimi ke mkuu, hebu piga picha hapo...
hapana alikuwa anatoka familia inajiweza ila kama unavojua pesa inaweza kuwepo ila amani isiwepoUlitumia uungwana sana, alikuwa anatoka familia duni?
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Angekua mwanamke kuna hair styles za kuficha komwe. Kwa mwanaume ajikubali na hali yake
Aisee, basi kuna step hukiipitia ,sasa ndipo ulipo!
Pole yake sana, sasa kumuunganisha na huyo demu ulikuwa na maana gani? Huoni kama ulikuwa unamtengenezea mazingira ya yeye kuliwa pesa zake na huyo demu?hapana alikuwa anatoka familia inajiweza ila kama unavojua pesa inaweza kuwepo ila amani isiwepo
I was new in JF! Forget about university issues, I'm a married man with kids.Aisee, basi kuna step hukiipitia ,sasa ndipo ulipo!
😅,mkuu yule alimsaidia kumpa kampani,walikuwa wanapiga stories usiku kucha,hapakuwa na mahusiano,ilimsaidia tu jamaa kukaa bila kuliaPole yake sana, sasa kumuunganisha na huyo demu ulikuwa na maana gani? Huoni kama ulikuwa unamtengenezea mazingira ya yeye kuliwa pesa zake na huyo demu?
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app