great stuff.Nilikuwa kanisani siku moja kwenye mkutano wa wanawake. Msemaji mmoja akuekezea umuhimu wa wanawake kujitunza.
Alisema ukizoea ya Ali na ya Joseph, ukija kuolewa na Eric utaona hajui mapigo. Lakini kama mwanaume unaemjua ni Eric tu utaridhika na hali yake.
Hiyo ndio shida ya kuoa magume gume ambayo yameshazowea mishindo. Hapo cha kufanya huyo mwanaume aende kwa wataalamu wa afya ili ajue namna ya kutatua tatizo lake.
Pia hiyo ni tabia mbaya sana ya mwanamke kutoa siri za chumbani na mumewe sababu mpaka hapo msaada hajaupata bado na bora angekaa nayo moyoni huku anatafuta njia ya kumsaidia mumewe.
Nitumie no ya shemeji yako mkuu,, Kuna mambo yanapaswa kuongelewa baina ya DOCTOR NA PATIENT,,, yanapaswa kubaki siri yetu,,, pia KUPIGA ROUND ZAIDI YA MOJA,, haimaanishi ndy kumridhisha mwanamke,,, muhimu ni kufanya tendo kwa mda mrefu na ustadi mkubwa,, hata round Moja tu yatosha mwanamke kuomba MCHEZO UISHE.... lazima ujifunze kucheza na akili yake,, na lazima muwe mnawasiliana wakati wa tendo,, ili mfike pamoja safari yenu,, mara nyingi mwanaume anapaswa kuchelewa kufika,,, ni AIBU kubwa kwa DUME kutamba limekwenda round nyingi kwa muda mfupi..
Ni kweli kabisa....wanawake wanatofautiana sana...Kuna aina ya wanawake ni wanavutia ukiwanao kitandani unatamani tu kufanya bila ya kuchoka.lakini kuna aina ya wanawake hawana ubunifu anachojua yeye ni kutega miguu tu,maneno ya kelo ,mchafu ,yaani hata u..ch..i wake anauona kama kidonda kuuosha.yaani mwanaume hata uwe lijali vipi utachoka tu.
MWAMBIE HUYO WIFI YAKO NAE AJIONGEZE MWAMBIE AWE MBUNIFU KWENYE VYAKULA NA KUMUANDALI, AWE MWEPESI KUJUA MODE YA MWENZA WAKE.AWE NA KAULI NA MAONGEZI MAZURI KWA MWENZIWE,
AWE NA MAPOKEZI MAZURI NA KUMFARIJI MWENZAWAKE ANAPOTOKA KAZINI.NK.
BIDII/KUJITUMA KATIKA MAPENZI SIO KWA MUME TU ,NI JUKUMU LA OTE.
KUDADADEKI.
Kaka Aende Kwa DaktaWajuzi wa mambo okoeni ndoa ya kaka tafadhari
I love youNilikuwa kanisani siku moja kwenye mkutano wa wanawake. Msemaji mmoja akuekezea umuhimu wa wanawake kujitunza.
Alisema ukizoea ya Ali na ya Joseph, ukija kuolewa na Eric utaona hajui mapigo. Lakini kama mwanaume unaemjua ni Eric tu utaridhika na hali yake.
Tena bila Haya huambia mashemej zake,Angeona maji yamemzidia unaenda kumwambia bibi ndio wakuongea na mmeoDu shemeji yenu ni mcharuko, mambo kama hayo hayasemwi nje ukizidiwa unajikojolesha mwenyewe mradi mume wa kukupa watoto unae ndani. Alifundwa wapi huyo mke?
Wakiambiwa wawape waume zao vyakula na matunda yakuongeza mshawasha wanaona kama wanachezewa muviHiyo ndio shida ya kuoa magume gume ambayo yameshazowea mishindo. Hapo cha kufanya huyo mwanaume aende kwa wataalamu wa afya ili ajue namna ya kutatua tatizo lake.
Pia hiyo ni tabia mbaya sana ya mwanamke kutoa siri za chumbani na mumewe sababu mpaka hapo msaada hajaupata bado na bora angekaa nayo moyoni huku anatafuta njia ya kumsaidia mumewe.
Ampe miogo mibichi sana na nazimke ajitahidi kumpikia mume vyakula vyenye nguvu ajitahidi kula matunda pia mwanamke amtengeneze mumewe kisaikolojia mambo yakiwa mengi kichwani ni ngumu mwanaume kuwa strong
HahahhaaSi useme tu kuwa ni ww