King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wakuu,
Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.
Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.
More to follow
Tunaipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kulifanikisha hili
Ametenda makosa gani ?Atekwe na membe mwenyewe ili mradi tuheshimiane hapa mjini
Namba lazima tuzisome wote
Huyo allan awamu iliyopita alikuwa hagusiki
Hawajui kwamba JASUSI Mbobezi Membe atapata taarifa zote?Hii kazi inaratibiwa na mlokole fake wa TISS
Tunakutegemea Kigogo kutupa feedback za watekaji.
Nchi sasa inaongozwa na Caligula.Wakuu,
Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.
Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.
More to follow
Halafu hawa ni watu tunaambiwa wanaitumikia serikali? Wanafanya mambo ya kishetani kuilinda serikali? Basi na serikali itakuwa ya kishetani hiyo!Wanapokuwa wametekwa mbali na mambo mengine wanalawitiwa huku wakirekodiwa. Sasa huwa wanatishiwa kabla ya kuachiwa kwamba wakiongea lolote kuhusu hilo kundi hiyo clips ya kulawitiwa inaachiwa mitandaoni. Si unajua jinsi ilivyo dhahama kulawitiwa bila ridhaa yako kisha hiyo picha kuwekwa hadharani?
Ni kweli kabisa Mkuu, anzia kwa Dr. Ulimboka utapata jibu.Wanapokuwa wametekwa mbali na mambo mengine wanalawitiwa huku wakirekodiwa. Sasa huwa wanatishiwa kabla ya kuachiwa kwamba wakiongea lolote kuhusu hilo kundi hiyo clips ya kulawitiwa inaachiwa mitandaoni. Si unajua jinsi ilivyo dhahama kulawitiwa bila ridhaa yako kisha hiyo picha kuwekwa hadharani?
......Wakigombana chukua jembe ukalime.
Hivi waumini wa Kanisa la kipilimba mlioko hapa jf mnajisikiaje. ?Hii kazi inaratibiwa na mlokole fake wa TISS
Ukweli wa kulawitiwa?alichosema uyo kaka ndo ukweli Wenyewe
Zakaria shujaa wangu wa Awamu hiii ya tanoni kwamba hao wanaokuja na silaha inawezekana ndio wale waliomvmia yule tajiri wa zakaria alipowazidi nguvu kwa kuwachapa risasi ndio wakajisalimisha kuwa ni maafisa ila wakikuzidi nguvu wanaitwa wasiojulikana
Mambo ya mbele mle wa nyuma na wa nyuma amkule wa mbelee.Wameanza kukulana