Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Tunakutegemea Kigogo kutupa feedback za watekaji.
Kadiri udikteta unavyozidi kuzima wanaharakati na wakosiaji, ndivyo kizazi kipya.jpg
 
Wanapokuwa wametekwa mbali na mambo mengine wanalawitiwa huku wakirekodiwa. Sasa huwa wanatishiwa kabla ya kuachiwa kwamba wakiongea lolote kuhusu hilo kundi hiyo clips ya kulawitiwa inaachiwa mitandaoni. Si unajua jinsi ilivyo dhahama kulawitiwa bila ridhaa yako kisha hiyo picha kuwekwa hadharani?
Halafu hawa ni watu tunaambiwa wanaitumikia serikali? Wanafanya mambo ya kishetani kuilinda serikali? Basi na serikali itakuwa ya kishetani hiyo!
Ee mwenyezi MUNGU kwa nini unaruhusu haya yatokee kwenye nchi hii iliyokuwa mfano bora wa uchaji wa moyo safi?
Serikali ni ya CCM, Walawiti ni wa serikali hivyo hao walawiti ni wa CCM pia, maana kama A ni sasa na B na B sawa na C basi C ni sawa na A
 
Inasemekana msaidiz wa Benard Membe Allan kiluvya
64309745_122544888716931_8538481006902209437_n.jpg
katekwa
 
Atakuwa ameenda mahala kutafuta maisha huyo..
 
Wanapokuwa wametekwa mbali na mambo mengine wanalawitiwa huku wakirekodiwa. Sasa huwa wanatishiwa kabla ya kuachiwa kwamba wakiongea lolote kuhusu hilo kundi hiyo clips ya kulawitiwa inaachiwa mitandaoni. Si unajua jinsi ilivyo dhahama kulawitiwa bila ridhaa yako kisha hiyo picha kuwekwa hadharani?
Ni kweli kabisa Mkuu, anzia kwa Dr. Ulimboka utapata jibu.
 
Kuna watu wa nakuwa viongozi ila hawajiamini. Sasa kutekana ndio nini
 
Back
Top Bottom