Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

naamini ni hivyo kabisa
ni kwamba hao wanaokuja na silaha inawezekana ndio wale waliomvmia yule tajiri wa zakaria alipowazidi nguvu kwa kuwachapa risasi ndio wakajisalimisha kuwa ni maafisa ila wakikuzidi nguvu wanaitwa wasiojulikana
 
Wakuu,

Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.

Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.

More to follow
Mtu hana impact yoyote ya maana kwenye GDP anatekwa! Bora zama za ukoloni, ngozi nyeusi na nyeupe walizichapa kupinga uonevu. Mtu unataka kwenda Mbeya unapitia Mombasa!
 
Wakuu,

Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.

Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.

More to follow
Maigizo yenu yatashindwa tu, na apotee jumla, hana faida yoyote ile hapa duniani na mbinguni kwa ujumla wake
 
Wanapokuwa wametekwa mbali na mambo mengine wanalawitiwa huku wakirekodiwa. Sasa huwa wanatishiwa kabla ya kuachiwa kwamba wakiongea lolote kuhusu hilo kundi hiyo clips ya kulawitiwa inaachiwa mitandaoni. Si unajua jinsi ilivyo dhahama kulawitiwa bila ridhaa yako kisha hiyo picha kuwekwa hadharani?
Kwaiyo swahiba wangu Abdul Nondo hana marinda?[emoji44][emoji1381]
 
Huko anakotaka kwenda siko....jamaa atafeli hatari...

Na CCM ina uwezo wa kumfix tu kama itaona for the benefit of the nation...hata kama yeye mwenyewe kakalia kigoda watu wanakibetua vilevile.
Unachekesha, wewe ni bulicheka wa kwenye gazeti la sani hapo zamani
 
Wakuu,

Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.

Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.

More to follow
Hili la kutekwa kusurubiwa na watu wasiojulikana limekuwa ni jambo la kawaida kwa awamu hii ya 5 je hao watu wasiojulikana hawjulikani kweli? ''Kidnapping by unknown gangs it is becoming a business as usual we are smelling a rat''
 
Wajinga wanamdanganya kuwa haiwezekani. Lakini CCM ni chama na chama ni vikao, sidhani kama chama kizima kina watu aina ya POLEPOLE pekee hivyo hawawezi kuamuwa kama ya ANC.
Mbeki alikuwa mkongwe ndani ya ANC lakini walitengua kigoda itakuwaje CCM ishindwe na wakuja?
Jipe moyo
 
Hivi hawa wote wanaotekwa na kuachiwa mbona hakuna hata mmoja amewahi kuja na story ambayo inasaidia kkupatikana kwa watekaji? Japo ile story ya Roma Mkatoliki kidogo inaweza kuwa na vi clue
Unataka video zao wakiwa wanazibuliwa mitaro ziende hewani ?
 
Back
Top Bottom