Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Alifeli sehemu ndogo sana ya Democrasia basi angeruhusu mawazo mbadala angekuwepo hadi leo,maana ingekuwa rahisi sana kuwafahamu wabaya wake.
 
Hiyo Mikataba kama ilikuwa imeandikwa Kwa Kiingereza Jiwe hakuwa anaijua hiyo Lugha, usitudanganye
 
Nchi ikiwa na Rais ambaye Shule yake ni ya kuunga unga tu utegemee madudu ya ajabu kabisa kufanyika katika Nchi hiyo.

Lakini MWAMBA aliipenda Nchi yake kwa kiwango cha juu sana, lakini pia aliipigania Tanzania mpaka tone lake la mwisho.
RIP, JPM, Mwamba wa Afrika.
 
Hii nchi haijawahi kupata Raisi wa hovyo kama Jiwe
 
Imagine, Bunge la Hovyo tulilonalo ni Kwa Sababu ya Jiwe, aliweka Mabumunda ili Aya Manipulate na Kubadili Katiba ili Sultani wa Milele
Yh sure

Kafanya media zimekuwa chawa wa CCM hazina uthubutu tena wa kukosoa serikali
 
We can see the difference apumzike kwa amani apate ijara ya ya kazi yake njema ya kuwapenda Watanzania.
 
Imagine, Bunge la Hovyo tulilonalo ni Kwa Sababu ya Jiwe, aliweka Mabumunda ili Aya Manipulate na Kubadili Katiba ili Sultani wa Milele
Nadhani unaitukana serikali iliyopo madarakani indirectly! Kwa kifupi raia ni wale wale! Waliopo bungeni ndio hao hao serikalini! In short, unaunga mkono hoja ya uozo uliopo serikalini 100% indirectly!
 
Mchapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…