Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kweli aisee mdomo wangu koma. Tangu lini nimeanza kuchambua siasa za bongo. Ukitaka upatwe na hasira anza kufuatilia deep siasa za bongo zinakera kinyamaMzee utabebwa na watu wasio julikana tutakuonea wapi?
Kweli aseeBen
Malezi ya mabint wa kiislam ,unaona anapata huo muda
Naomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe na hata wao wenyewe wanalijua hilo.Anasimlia:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, UNAAMBIWA MWAMBA ALIKUWA AKIPITIA NYARAKA ZA MIKATABA MIBOVU AKIWA OFISINI MEZANI. AKICHOKA KUKAA UNAAMBIWA ALIKUWA ANAJILAZA KWENYE ZULIA AKIWA AMEPIGA NNE MIGUU YAKE π€£ HUKU AKIWA AMEFURA HASWA! AKIWAHURUMIA ANAWEZA KUTOKA OFISINI SAA 9 NA AKIFIKA NDANI UNAAMBIWA HAONGEI NA MTU YEYE MOJA KWA MOJA KITANDANI NA KUPIGA NNE HUKU AKIENDELEA KUPITIA NYARAKA. ASUBUHI YAKE SASA!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Punguza kisirani na matusi,,,tunajua una khasira mnoo lakini jaribu na jitahidi sana kuzikontroo nawe pia kujikontroo kwa kuwa itakusaidia sana sana kwa afya mwili,,nafsi na akili pia!!sisi tuliowahi kumsogelea walau hata mara moja,ndio tunamjua kabisa huu sio uongo.
ndio maana nikiona cenge moja linamsema vibaya natamani nilipake mafuta.
Mwisho wq siku akafa mapema!Anasimlia:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, UNAAMBIWA MWAMBA ALIKUWA AKIPITIA NYARAKA ZA MIKATABA MIBOVU AKIWA OFISINI MEZANI. AKICHOKA KUKAA UNAAMBIWA ALIKUWA ANAJILAZA KWENYE ZULIA AKIWA AMEPIGA NNE MIGUU YAKE π€£ HUKU AKIWA AMEFURA HASWA! AKIWAHURUMIA ANAWEZA KUTOKA OFISINI SAA 9 NA AKIFIKA NDANI UNAAMBIWA HAONGEI NA MTU YEYE MOJA KWA MOJA KITANDANI NA KUPIGA NNE HUKU AKIENDELEA KUPITIA NYARAKA. ASUBUHI YAKE SASA!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Hakuna chumvi hata moja ndugu hapo.Hapa sina jambo la kusema ila chumvi nyingi
Nakuona unachipukia kwa kasiKweli aisee mdomo wangu koma. Tangu lini nimeanza kuchambua siasa za bongo. Ukitaka upatwe na hasira anza kufuatilia deep siasa za bongo zinakera kinyama
Simjui wala sijawahi kumuona ata kwa bahati mbaya so bora nikae kimyaHakuna chumvi hata moja ndugu hapo.
Tungekuwa mbali sana!! Mbali mno!! Dunia ilikuwa inazunguka kwa speed kali sana!
Alikuwa makini lakini alikuwa katiliMarch 2021 Taifa lilipoteza mtu makini sana
Acha kebei angekuwa mama unasoma af mtu anamtukana hivi ungejisikiajeHuyu wa sasa hivi hata kusoma hasomi, na akisoma haelewi kitu
Nasikianmama mama yeye mkimwekea nyimbo za taarabu basi hagusi kitu na ukitaka umfurahishe basi umwambie kuna mshono mpya umeingia mjini..!Anasimlia:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, UNAAMBIWA MWAMBA ALIKUWA AKIPITIA NYARAKA ZA MIKATABA MIBOVU AKIWA OFISINI MEZANI. AKICHOKA KUKAA UNAAMBIWA ALIKUWA ANAJILAZA KWENYE ZULIA AKIWA AMEPIGA NNE MIGUU YAKE π€£ HUKU AKIWA AMEFURA HASWA! AKIWAHURUMIA ANAWEZA KUTOKA OFISINI SAA 9 NA AKIFIKA NDANI UNAAMBIWA HAONGEI NA MTU YEYE MOJA KWA MOJA KITANDANI NA KUPIGA NNE HUKU AKIENDELEA KUPITIA NYARAKA. ASUBUHI YAKE SASA!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Hahaa twenzetu selfika tuNakuona unachipukia kwa kasi
Tulipoteza Rais. Mtu mwenye nia ya dhati kabisa kulivusha taifaTungekuwa mbali sana!! Mbali mno!! Dunia ilikuwa inazunguka kwa speed kali sana!
Aiseeee, eti? Ni kiswahilii tu alikua hajui vizuri, ila english imesimama mwanangu, ukitilia maanani mikataba yote ilikua inaandikwa kiswahiliSukari uliyoiweka humu ni nyingi sana...
Mlikuwa mnamfungulia na Google Translate..!?
Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vileKabla hata hana dalili ya kufa alisema kabsa kuwa amejitolea maisha yake kwa ajili ya tanzania