Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Naomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe na hata wao wenyewe wanalijua hilo.
 
sisi tuliowahi kumsogelea walau hata mara moja,ndio tunamjua kabisa huu sio uongo.

ndio maana nikiona cenge moja linamsema vibaya natamani nilipake mafuta.
Punguza kisirani na matusi,,,tunajua una khasira mnoo lakini jaribu na jitahidi sana kuzikontroo nawe pia kujikontroo kwa kuwa itakusaidia sana sana kwa afya mwili,,nafsi na akili pia!!
 
Mw
Mwisho wq siku akafa mapema!
 
Nasikianmama mama yeye mkimwekea nyimbo za taarabu basi hagusi kitu na ukitaka umfurahishe basi umwambie kuna mshono mpya umeingia mjini..!
 
Sukari uliyoiweka humu ni nyingi sana...

Mlikuwa mnamfungulia na Google Translate..!?
Aiseeee, eti? Ni kiswahilii tu alikua hajui vizuri, ila english imesimama mwanangu, ukitilia maanani mikataba yote ilikua inaandikwa kiswahili
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Kabla hata hana dalili ya kufa alisema kabsa kuwa amejitolea maisha yake kwa ajili ya tanzania
Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vile
 
Ila malezi ya wagalatia ni ya kikatili sana,
Yaani unafundishwa na kufundisha kabisa ukatili? Unaua binadamu wenzako kisa madaraka na kuwajaza kwenye viroba kweli? Hayo ndio malezi ya wala ngurruwer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…