Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Ametukanajwe hapo? Kusoma na kutoelewa mkataba ni tusi? Angekuwa anaelewa angesaini mkataba kama ule?
Kuna mikataba mingapi imesainiwa ni ya ovyo mbona hatuoni kelel ninyi mmetumwa kumtoa mama kwenye reli mnatetea ugali wenu pale bandarini
 
Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vile
Pole sana ulikuwa unataka uletewe unga nyumbani? Sisi tunazungumzia mstakabali wa Tanzania!!! Alikuwa anaipeleka Tanzania mahali fulani!!! Hata sisi hajawahi kutuletea ugali nyumbani kwetu!
 
Ila malezi ya wagalatia ni ya kikatili sana,
Yaani unafundishwa na kufundisha kabisa ukatili? Unaua binadamu wenzako kisa madaraka na kuwajaza kwenye viroba kweli? Hayo ndio malezi ya wala ngurruwer
Unafikiri sasa watu hawafi? Hakuna dola ya hivyo!
 
Hapa sina jambo la kusema ila chumvi nyingi
Wewe ni juha! kuna kipi kati ya hayo yaliyosemwa na mleta mada Jpm angeshindwa kufanya? Hukuwahi kuona jpm kapigwa picha amejilaza juu ya miamba kama mjusi pale ikulu ya chamwino? Ama hukuwahi kuona picha yake iliyotrend akiwa ofisini usiku na mafaili mlima?
 
Anasimlia:-

Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!

Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!

Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, UNAAMBIWA MWAMBA ALIKUWA AKIPITIA NYARAKA ZA MIKATABA MIBOVU AKIWA OFISINI MEZANI. AKICHOKA KUKAA UNAAMBIWA ALIKUWA ANAJILAZA KWENYE ZULIA AKIWA AMEPIGA NNE MIGUU YAKE 🤣 HUKU AKIWA AMEFURA HASWA! AKIWAHURUMIA ANAWEZA KUTOKA OFISINI SAA 9 NA AKIFIKA NDANI UNAAMBIWA HAONGEI NA MTU YEYE MOJA KWA MOJA KITANDANI NA KUPIGA NNE HUKU AKIENDELEA KUPITIA NYARAKA. ASUBUHI YAKE SASA!!!!

Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!

Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.

Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
'simlia,amlia'..wewe ni msukuma,mi pia ngosha so najua kiswahili chetu,ni hivi maraisi wote wako hivyo kwa hapa tz,hulala muda mfupi Sana,ndiyo kazi ya urais ilivyo
 
Pole sana ulikuwa unataka uletewe unga nyumbani? Sisi tunazungumzia mstakabali wa Tanzania!!! Alikuwa anaipeleka Tanzania mahali fulani!!! Hata sisi hajawahi kutuletea ugali nyumbani kwetu!
Mahali gani kujengewa haya maharaja ya juu? Ivi angekuwepo ungeweza kuropoka? Tangu mama kaingia kuna mtu kapoteq na asujulikane katekwq na nan?
 
Hahaha basi kama alikua anasoma halafu yale ndio yalikua majibu yake jamaa atakua alikua hamna kiti kichwani.
 
Maza yeye hasomi chochote wala haelewi nini kipo humo ndani
Ana masters,sidhani Kama kwenye ukoo wenu Kuna mtu kafikia hiyo elimu,fani yake ya awali inahusisha kusoma Sana na kuandika mengi,ndiyo maana alisema kwake mafaili hayalali
 
Wewe ni juha! kuna kipi kati ya hayo yaliyosemwa na mleta mada Jpm angeshindwa kufanya? Hukuwahi kuona jpm kapigwa picha amejilaza juu ya miamba kama mjusi pale ikulu ya chamwino? Ama hukuwahi kuona picha yake iliyotrend akiwa ofisini usiku na mafaili mlima?
Kumbe picha kwani ata mm si naweza nikae ndq ofisini nikaagiza mafile na nikaita mpiga picha na akanipiga

Kujilaza mimi mbona naweza kwenda jiraza kwenye miamba uku gangilonga na nikapiga picha na ofisini wakanipa tuzo
 
Wewe ni juha! kuna kipi kati ya hayo yaliyosemwa na mleta mada Jpm angeshindwa kufanya? Hukuwahi kuona jpm kapigwa picha amejilaza juu ya miamba kama mjusi pale ikulu ya chamwino? Ama hukuwahi kuona picha yake iliyotrend akiwa ofisini usiku na mafaili mlima?
Ni hivi.... Walikua wakimtafsiria?
Au jamaa aliuliza mlimuunganishia google translator?
Simple tu usipanick, mtu akikudanganya ujue amekudharau Sana
 
Msiba ulisha malizika,

Matanga yalisha ondolewa,

Tuhakikishe maono yake yanatimia juu ya nchi yetu nzuri TANZANIA.

Kama Magu mmoja aliweza, Watanzania zaidi ya 60ml, tunaweza zaidi ya hapo.

Tuwe macho, BANDARI yetu ni URITHI wetu, tusiruhusu viongozi waigawe Bure Kwa wageni.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen
 
Back
Top Bottom