Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,268
Ametukanajwe hapo? Kusoma na kutoelewa mkataba ni tusi? Angekuwa anaelewa angesaini mkataba kama ule?Acha kebei angekuwa mama unasoma af mtu anamtukana hivi ungejisikiaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ametukanajwe hapo? Kusoma na kutoelewa mkataba ni tusi? Angekuwa anaelewa angesaini mkataba kama ule?Acha kebei angekuwa mama unasoma af mtu anamtukana hivi ungejisikiaje
Kuna mikataba mingapi imesainiwa ni ya ovyo mbona hatuoni kelel ninyi mmetumwa kumtoa mama kwenye reli mnatetea ugali wenu pale bandariniAmetukanajwe hapo? Kusoma na kutoelewa mkataba ni tusi? Angekuwa anaelewa angesaini mkataba kama ule?
Kuna mkataba ulishawahi kusainiwa wa kuiuza Tanganyika ukiacha huu wa mama? Yaani hakuna ukomo kabisa?Kuna mikataba mingapi imesainiwa ni ya ovyo mbona hatuoni kelel ninyi mmetumwa kumtoa mama kwenye reli mnatetea ugali wenu pale bandarini
Pole sana ulikuwa unataka uletewe unga nyumbani? Sisi tunazungumzia mstakabali wa Tanzania!!! Alikuwa anaipeleka Tanzania mahali fulani!!! Hata sisi hajawahi kutuletea ugali nyumbani kwetu!Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vile
Chunga kauli MkuuNaomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake hasa huyu, ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe.
Shida wabongo mkipakwa mafuta mnalainika mimi sijawahi mkumbuka kwasababu sikuwahi kuletewa unga wa ugali mlangoni kwangu naona maisha yapo vile vile
Wamama una ukomoKuna mkataba ulishawahi kusainiwa wa kuiuza Tanganyika ukiacha huu wa mama? Yaani hakuna ukomo kabisa?
Unafikiri sasa watu hawafi? Hakuna dola ya hivyo!Ila malezi ya wagalatia ni ya kikatili sana,
Yaani unafundishwa na kufundisha kabisa ukatili? Unaua binadamu wenzako kisa madaraka na kuwajaza kwenye viroba kweli? Hayo ndio malezi ya wala ngurruwer
Ukipakwa wewe inatoshaBado wew
Wewe ni juha! kuna kipi kati ya hayo yaliyosemwa na mleta mada Jpm angeshindwa kufanya? Hukuwahi kuona jpm kapigwa picha amejilaza juu ya miamba kama mjusi pale ikulu ya chamwino? Ama hukuwahi kuona picha yake iliyotrend akiwa ofisini usiku na mafaili mlima?Hapa sina jambo la kusema ila chumvi nyingi
'simlia,amlia'..wewe ni msukuma,mi pia ngosha so najua kiswahili chetu,ni hivi maraisi wote wako hivyo kwa hapa tz,hulala muda mfupi Sana,ndiyo kazi ya urais ilivyoAnasimlia:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, UNAAMBIWA MWAMBA ALIKUWA AKIPITIA NYARAKA ZA MIKATABA MIBOVU AKIWA OFISINI MEZANI. AKICHOKA KUKAA UNAAMBIWA ALIKUWA ANAJILAZA KWENYE ZULIA AKIWA AMEPIGA NNE MIGUU YAKE 🤣 HUKU AKIWA AMEFURA HASWA! AKIWAHURUMIA ANAWEZA KUTOKA OFISINI SAA 9 NA AKIFIKA NDANI UNAAMBIWA HAONGEI NA MTU YEYE MOJA KWA MOJA KITANDANI NA KUPIGA NNE HUKU AKIENDELEA KUPITIA NYARAKA. ASUBUHI YAKE SASA!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Mahali gani kujengewa haya maharaja ya juu? Ivi angekuwepo ungeweza kuropoka? Tangu mama kaingia kuna mtu kapoteq na asujulikane katekwq na nan?Pole sana ulikuwa unataka uletewe unga nyumbani? Sisi tunazungumzia mstakabali wa Tanzania!!! Alikuwa anaipeleka Tanzania mahali fulani!!! Hata sisi hajawahi kutuletea ugali nyumbani kwetu!
Ana masters,sidhani Kama kwenye ukoo wenu Kuna mtu kafikia hiyo elimu,fani yake ya awali inahusisha kusoma Sana na kuandika mengi,ndiyo maana alisema kwake mafaili hayalaliMaza yeye hasomi chochote wala haelewi nini kipo humo ndani
Kumbe picha kwani ata mm si naweza nikae ndq ofisini nikaagiza mafile na nikaita mpiga picha na akanipigaWewe ni juha! kuna kipi kati ya hayo yaliyosemwa na mleta mada Jpm angeshindwa kufanya? Hukuwahi kuona jpm kapigwa picha amejilaza juu ya miamba kama mjusi pale ikulu ya chamwino? Ama hukuwahi kuona picha yake iliyotrend akiwa ofisini usiku na mafaili mlima?
Hilo nalo muende mkalitizame!Maza yeye hasomi chochote wala haelewi nini kipo humo ndani
Ni hivi.... Walikua wakimtafsiria?Wewe ni juha! kuna kipi kati ya hayo yaliyosemwa na mleta mada Jpm angeshindwa kufanya? Hukuwahi kuona jpm kapigwa picha amejilaza juu ya miamba kama mjusi pale ikulu ya chamwino? Ama hukuwahi kuona picha yake iliyotrend akiwa ofisini usiku na mafaili mlima?