Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Naomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe.
Acha uzu mwanamke asiyekuwa na akili ni mama yako mzazi ambaye amekosea kukuzaa baada ya mimba kugoma kutoka
 
Nilikuwa cmkubali Mh Magu kwenye mambo flan flan ila kiukweli yule ndio alikuwa rais wetu shida kuna wajinga flan walimzunguka.
 
Kiingereza chenyewe alikuwa hajui je hiyo mikataba ilitafsiriwa kisukuma?
 
Chai
 
sisi tuliowahi kumsogelea walau hata mara moja,ndio tunamjua kabisa huu sio uongo.

ndio maana nikiona cenge moja linamsema vibaya natamani nilipake mafuta.
Alikuwa anatimiza wajibu wake maana nasi tulikuwa tunatimiza wa kwetu kwa kumtunza yeye, mke wake na familia yake yote.
Kwa kutimiza wajibu wake hakukumpa nafasi ya kukiuka haki za binadamu, kutofuata katiba na sheria, kuharibu uchaguzi na kutuwekea matutusa bungeni nk.
Nchi hii haikuwa ya baba yake au mama yake, akiwa kama kiongozi alipaswa kuheshimu sheria, katiba na utu wa watu na mawazo yao.
Hauo mafuta mngepakana wenyewe tuu.
 
Naomba nijibu swali hili, tangu lini mwanamke akawa na akili ?!! Tukiachana na porojo za wanaharakati ukweli uko wazi kama uchi wa mbuzi, wanawake ni dhaifu kuliko hata udhaifu wenyewe.

Hayo siyo maneno yenye staha kwa mabinti, dada, mama, bibi nk. Wametuzaa na kutulea sisi watu imara. Usirudie kuwatweza wanawake kwa picha hiyo unayoionesha.
 
Ila malezi ya wagalatia ni ya kikatili sana,
Yaani unafundishwa na kufundisha kabisa ukatili? Unaua binadamu wenzako kisa madaraka na kuwajaza kwenye viroba kweli? Hayo ndio malezi ya wala ngurruwer
Hivi magaidi akina Alshabab,Osama,nk ni wagalatia?
 
Kwahiyo huyo msaidizi wake alikuwa naye hadi chumbani kwake saa 9 usiku! Bosi anaingia chumbani aongei na mtu anapanda kitandani analala anakunja nne anaendelea kusoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…