Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Sasa wewe msaidizi wake au kuna mengine zaidi? Maana mpaka chumbani upo nae?

Nasikia kasoma seminari ya kikatoliki yule, eti kweli?
 
Lile lilikuwa na shetani halisi
 
Hao boko, alshababu, aluqaida wote ni wagalatia tu, hakuna mafundisho yale kwenye uislam,
Uislam ni amani ukiona mtu anafanya vinginevyo huo sio uislam

Kuhusu mada mie nimemjibu aliesema malezi ya waislam si mema
Kuhusu magu,ameenda hayupo tena na hatarudi, mema au mabaya atakutana nayo huko alipo, hapa walio hai waendelee na zao zikifika nao wataenda
 
Hivi magaidi akina Alshabab,Osama,nk ni wagalatia?
Yes ni wagalatia, uislam haujafundisha na haufundishi ugaidi, magaidi ni wale wote wanaoua wenzao bila haki, so hata hao uliowataja na hata wazungu hasa usa na waingereza ni magaidi pia
 
Rais kutaka kutembea kwa miguu kutoka Ikulu mpaka bandarini ni dalili ya kichaa.
 
Yes ni wagalatia, uislam haujafundisha na haufundishi ugaidi, magaidi ni wale wote wanaoua wenzao bila haki, so hata hao uliowataja na hata wazungu hasa usa na waingereza ni magaidi pia
Wewe ni empty set, mngejua western ni magaidi msingekimbilia kujazana Ulaya na Us.
 
Bora huyo kichaa mkuu kuliko huyu mkarimu wa kugawa mali za urithi
Kwa nini Watanzania wengi wanapenda false dichotomy?

Kwa nini mnapenda kulinganisha Magufuli na Samia badala ya kuwalinganisha wote na the best possible president?
 
Kwa nini Watanzania wengi wanapenda false dichotomy?

Kwa nini mnapenda kulinganosha Magufuli na Samia badala ya kuwalinganisha wote na the best possible president?
Htuna best hadi sasa.
Tuna wadhaifu wenye nafuu na wabovu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…