Watanzania wengi ndo tuna akili za namna hii, hatutumii common sense na mtu yoyote akiwa macho makavu kuongea tunamuamini.
Tuna ambiwa alikuwa anawajibika mpaka masaa ya ziadaRais kutaka kutembea kwa miguu kutoka Ikulu mpaka bandarini ni dalili ya kichaa.
Nq bado wanamuita jembe wabunge walio pita bila kupingwa lakini leo hii ndio hao haoWatanzania wengi ndo tuna akili za namna hii, hatutumii common sense na mtu yoyote akiwa macho makavu kuongea tunamuamini.
Bunge linalopitisha sheria na mikataba ya hovyo ni hilo hilo lililoasisiwa na jpm.
Wewe uliesoma mbona bado ziro π§Tatizo shule
Tuna shida sana mkuuNq bado wanamuita jembe wabunge walio pita bila kupingwa lakini leo hii ndio hao hao
Thibitisha uzalendo upi?Alikuwa mzalendo
Wabongo ukiwadanganya kidogo tu wamelainika na ndio ticket wanaoyo tumia wanasiasa kufanya maigizoTuna shida sana mkuu
Bandarini jpm katika utawala wake kaenda kufanya peep show karibu mara mbili na bado hakupaweza , ila kuna watu wanaamini yale maigizo.Wabongo ukiwadanganya kidogo tu wamelainika na ndio ticket wanaoyo tumia wanasiasa kufanya maigizo
Ndiyo maana alikufaNukuu:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake [emoji1787] huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Mimi.sijawai mkubali uyo JPMBanadarini jpm katika utawala wake kaenda kufanya peep show karibu mara mbili na bado hakupaweza , ila kuna watu wanaamini yale maigizo.
Siku ina masaa 24 tu, haina masaa ya ziada.Tuna ambiwa alikuwa anawajibika mpaka masaa ya ziada
Hauko peke yako !! Mtu yoyote ambaye ni mkweli na smart kichwani hawezi kukubali zile drama.Mimi.sijawai mkubali uyo JPM
Inashangaza sana mkuuHuu wimbo wako bado tu watu hawajauelewa,sijui kwa nn bhana!?.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa unakejeli sana dah! umanichekesha saanaNasikianmama mama yeye mkimwekea nyimbo za taarabu basi hagusi kitu na ukitaka umfurahishe basi umwambie kuna mshono mpya umeingia mjini..!
Mkuu mm nafanana sana na jamaa ila nimejiweka mbali na siasa....Alikuwa makini lakini alikuwa katili
Wazungu ni magaidi,Wewe ni empty set, mngejua western ni magaidi msingekimbilia kujazana Ulaya na Us.
Yeye akisalimiwa tu samaleko, anaitkia tu naweka saini wapi? Basi!Ben
Malezi ya mabint wa kiislam ,unaona anapata huo muda
Magufuli alikuwa raisi mzuri lakini kasoro zake zilifunika uzuri wake kwangu, kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa reference. Ndo maana nchi inakuwa na katiba Magufuli alianzisha matendo/mitindo ya uogozi ambayo itakuja kurudiwa na viongozi wajao wengi na kuharibu nchi yetu.Nukuu:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake π€£ huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Mjapani mweusi yule alikuwa si mchezoπ₯π₯π₯π₯πΉπΏπ₯π₯π₯π₯. Mtu wa kazi.Nukuu:-
Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!
Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!
Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake π€£ huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!
Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!
Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.
Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!