Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Msaidizi wa Hayati Magufuli: Pata picha saa 8 za usiku mtu anaweka hadi nne akisoma mlichompelekea

Watanzania wengi ndo tuna akili za namna hii, hatutumii common sense na mtu yoyote akiwa macho makavu kuongea tunamuamini.
Bunge linalopitisha sheria na mikataba ya hovyo ni hilo hilo lililoasisiwa na jpm.
Nq bado wanamuita jembe wabunge walio pita bila kupingwa lakini leo hii ndio hao hao
 
Wabongo ukiwadanganya kidogo tu wamelainika na ndio ticket wanaoyo tumia wanasiasa kufanya maigizo
Bandarini jpm katika utawala wake kaenda kufanya peep show karibu mara mbili na bado hakupaweza , ila kuna watu wanaamini yale maigizo.
 
Nukuu:-

Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!

Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!

Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake [emoji1787] huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!

Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!

Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.

Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Ndiyo maana alikufa
 
Tuna ambiwa alikuwa anawajibika mpaka masaa ya ziada
Siku ina masaa 24 tu, haina masaa ya ziada.

Julius Nyerere alikuwa anakesha anasoma documents huku anasikiliza BBC.

Balozi Ben Mashiba kaniambia.

Paul Sozigwa kaniambia.

Balozi Dr. Augustine Mahiga kaniambia.


Watu wa Ikulu ya Nyerere hao.

Kaka mkubwa Poppy Hatonn alikuwapo Ikulu na Msasani, atashuhudia.

Lakini hii haijawahi kutumiwa kama propaganda point.
 
Alikuwa makini lakini alikuwa katili
Mkuu mm nafanana sana na jamaa ila nimejiweka mbali na siasa....

Pia hata sehemu yeyote nikipewa kusimamia Huwa wanasema Huyu jamaa ni JPM,

Simuonei mtu, simdharau mtu, msikivu sana na mnyenyekevu sana na very humble na kujishusha sana....

Ishu kwenye misimamo na maamuzi, uvivu,uzembe, ujanja ujanja,tamaa, ubinafsi, seduction ,uzandiki,figisu,usaliti, majungu,ushirikina, utapeli, rushwa, uonevu, upendeleo izo mambo huniletea shida sifungamani navyo.........😊😊😊😊
 
Wewe ni empty set, mngejua western ni magaidi msingekimbilia kujazana Ulaya na Us.
Wazungu ni magaidi,

Kwenda kwao ni kutafta maisha tu, mbona nyie warundi mumejazana hapa tz na hatuwasemi?

Mbona wamasai wamejazana pale zenji na wanalelewa vyema tu 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Nukuu:-

Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!

Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!

Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake 🤣 huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!

Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!

Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.

Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Magufuli alikuwa raisi mzuri lakini kasoro zake zilifunika uzuri wake kwangu, kwenye uongozi kuna kitu kinaitwa reference. Ndo maana nchi inakuwa na katiba Magufuli alianzisha matendo/mitindo ya uogozi ambayo itakuja kurudiwa na viongozi wajao wengi na kuharibu nchi yetu.
 
Nukuu:-

Kaka, issue kama hii kwanza tulikuwa hatulali! Pili, usijidanganye eti utampa mwamba karatasi zenye kurasa nyingi asizisome-hahaha!

Niwe mkweli wa nafsi, binafsi huwa nadhani mwamba alikuwa anapenda sana issue za migogoro ili aweze ku solve. Jiulize, mtu ambaye akiletewa jambo kwa mfano lenye ukakasi, kisha mnaitwa wote mnaohusika mnagawiwa hizo nyaraka na mnaamliwa mzisome nukta kwa nukta aya kwa aya. Baadae mnaulizwa, je kuna pahali mmeona labda kuna kosa? Sasa, ole wenu msipaone palipo na kosa alipopaona yeye!

Kaka, kwa nyepesi nyepesi tu, Unaambiwa mwamba alikuwa akipitia nyaraka za mikataba mibovu akiwa ofisini mezani. Akichoka kukaa unaambiwa alikuwa anajilaza kwenye zulia akiwa amepiga nne miguu yake 🤣 huku akiwa amefura haswa! Akiwahurumia anaweza kutoka ofisini saa 9 na akifika ndani unaambiwa haongei na mtu yeye moja kwa moja kitandani na kupiga nne huku akiendelea kupitia nyaraka. Asubuhi yake sasa!!!!

Kuna siku alivurugwa na kutaka atembee kwa miguu hadi bandarini wakamzuilia getini!

Ndugu yangu, itoshe ufahamu yule jamaa alikuwa hachengeki akiamlia jambo.

Mfano huu mkataba mnaoupigia kelele, aiseee....!
Mjapani mweusi yule alikuwa si mchezo🔥🔥🔥🔥🇹🇿🔥🔥🔥🔥. Mtu wa kazi.
 
Magufuli nisamehe kwa kukufikiria vibaya...wewe ni Simba....
 
Back
Top Bottom