Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana

Msaidizi wa Lissu adaiwa kujeruhiwa na mapanga na watu wasiojulikana

Project yake ya Kwanza hiyo.
Ndiyo mjue kuwa waliokuwa wanafanya hayo siyo JPM ni team msoga na rostam azizi ki...kwa sasa wamegawanyika wao kwa wao hivyo trick kama hizo zitatokea sana ili kuchafuana ...niliwaambia watu humu kuwa kifo cha ben saa 8 nyuma yake wapo chadema na msoga + rostam hao ndiyo wahusika lengo lilikuwa ni kupiga vita dhidi ya MZALENDO JPM NA UZALENDO ndiyo maana uwezi kumsikia mbowe kwa sasa akiongelea kifo cha ben kutoka moyoni, wala sa100 na team msoga ambao ni maadui wakubwa wa uzalendo na mzalendo jpm ...licha ya wao kumchukia JPM ila wameshindwa kutaka kuchunguza jambo ilo ambalo maadui wa uzalendo wanamuusisha jpm.
Kwakutumia akili ndogo tu unajiuliza kwanini sa100 anamchukia jpm ila ajachunguza kifo hicho ili kumwanika jpm alivyo mwovu ?
 
Akiingia kichwa kichwa amekwisha, zama za mwamvuli wake zimepita....ref..Sabaya
Akili zako ndogo sana ....maadui wa JPM NA UZALENDO ndiyo walio kuwa wanafanya hayo ili kumchafua Jpm ...na kwa sasa kuna mpasuko mbaya baina ya hao waliokuwa maadui wa ( uzalendo na jpm )kitendo cha samia kumuinua makonda sababu ni huo mpasuko hivyo samia anajaribu kupambana na msoga gang kupunguza nguvu yao maana samia anayo team yake ambayo ni watz feki wa kiarabu na wazanzibar .
 
Akili zako ndogo sana ....maadui wa JPM NA UZALENDO ndiyo walio kuwa wanafanya hayo ili kumchafua Jpm ...na kwa sasa kuna mpasuko mbaya baina ya hao waliokuwa maadui wa ( uzalendo na jpm )kitendo cha samia kumuinua makonda sababu ni huo mpasuko hivyo samia anajaribu kupambana na msoga gang kupunguza nguvu yao maana samia anayo team yake ambayo ni watz feki wa kiarabu na wazanzibar .
Kwa hiyo hii ndio akili kubwa?
Basi sawa
 
Ndiyo mjue kuwa waliokuwa wanafanya hayo siyo JPM ni team msoga na rostam azizi ki...kwa sasa wamegawanyika wao kwa wao hivyo trick kama hizo zitatokea sana ili kuchafuana ...niliwaambia watu humu kuwa kifo cha ben saa 8 nyuma yake wapo chadema na msoga + rostam hao ndiyo wahusika lengo lilikuwa ni kupiga vita dhidi ya MZALENDO JPM NA UZALENDO ndiyo maana uwezi kumsikia mbowe kwa sasa akiongelea kifo cha ben kutoka moyoni, wala sa100 na team msoga ambao ni maadui wakubwa wa uzalendo na mzalendo jpm ...licha ya wao kumchukia JPM ila wameshindwa kutaka kuchunguza jambo ilo ambalo maadui wa uzalendo wanamuusisha jpm.
Kwakutumia akili ndogo tu unajiuliza kwanini sa100 anamchukia jpm ila ajachunguza kifo hicho ili kumwanika jpm alivyo mwovu ?
Soma hapa Glenn
 
Ni Muhimu serikali huhakikisha hayajirudii haya mambo kwani Lolote likitokea lawama ni kwao.

Haya mambo yako ndnai ya uwezo wa serikali.

Ukute maaduni wake wanafanya haya ili asakiziwe yeye.
Makonda ana maadui wengi sana ndani ya ccm na nje ya ccm.

Ingefaa cheo hiki angekiepuka.
Sijui hali itakuwaje huko tuendako.

Kila baya atatupiwa yeye
 
CDM washaanza tena kutengeneza cinema zao, kesho wanaharakati uchwara waongezee chumvi.

Ndio ‘bi-tozo’ apate somo, watu wakitaka kufanya yao wanatengeneza mazingira tu.

Huyu mama amemkosea sana Magufuli aliekuwa na nia njema ya kuwainua watu wenye maisha ya chini na kuiendeleza Tanzania kwa kurudi tulipokuwa prior to 2015.
 
Back
Top Bottom