blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Sa100 anashauriwa vibaya sana..Makonda ana maadui wengi sana ndani ya ccm na nje ya ccm.
Ingefaa cheo hiki angekiepuka.
Sijui hali itakuwaje huko tuendako.
Kila baya atatupiwa yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa100 anashauriwa vibaya sana..Makonda ana maadui wengi sana ndani ya ccm na nje ya ccm.
Ingefaa cheo hiki angekiepuka.
Sijui hali itakuwaje huko tuendako.
Kila baya atatupiwa yeye
hapo sijaandika kiswahili fasaha, ndio lengo langu hilo, hivyo elewa kimagumashiHebu tafuta kwanza mwalimu wa kiswahili akusaidie kuweka taarifa yako vizuri.
alipokuwa RC alikuwa ni jeshi ?Acha yaendelee kama Katibu mwenezi ni jeshi basi sawa
Kama mbowe alivyomtandika lisu risasi 41 au kama mbowe alivyokewa konyagi akaanguka na kusingizia alitaka kutekwa akawashinda watekajiNa wanaweza kufanya wengine asakiziwe yeye
SawasawaHaya maneno mmesema miaka yote na yamebaki kuwa ya khanga tu
Hii inawezekana...ukizingatia Hata Mashabiki wao Wanajigamba kuwa wasaliti wa nchi. Rejea maelezo ya Erythrocyte kujigamba kuwa alihujumu Tanzania waziwazi kwa kumpaka matope Dr Tulia(Spika) ili asichaguliwe kuwa Spika wa mabunge Duniani (IPU)!!!Hii ni wao kwa wao..
CHADEMA mnahisi hizi movie zenu uchwara ndo zitamchafua Makonda?Hii inawezekana...ukizingatia Hata Mashabiki wao Wanajigamba kuwa wasaliti wa nchi. Rejea maelezo ya Erythrocyte kujigamba kuwa alihujumu Tanzania waziwazi kwa kumpaka matope Dr Tulia(Spika) ili asichaguliwe kuwa Spika wa mabunge Duniani (IPU)!!!
Soma hapa :Malalamiko ya Tulia Ackson yafanyiwe kazi. Nchi imegawanyika na itaendelea kugawanyika
Hawashindwi hawa.
Msaidizi maalum wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu; ameshambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana jijini Dar es Salaam jana, 30 Oktoba 2023 majira ya saa 2 usiku. Hizi ni dalili za giza la kisiasa kuanza kutanda tena!
Kama anachukuwa mke wa mtu aache mara moja na kama ni mtembezi wa usiku vibaka ni wengi awe mwangalifu!Msaidizi maalum wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu; ameshambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana jijini Dar es Salaam jana, 30 Oktoba 2023 majira ya saa 2 usiku. Hizi ni dalili za giza la kisiasa kuanza kutanda tena!
Such an idiot ... pure nonsense...Watu kama nyie mnahitaji mtu wa kuongoza hiyo nchi kuwaelewesha kwa vitendo kama jemedari Magufuli (R.I.P).
Magufuli katuangusha sana watanzania kukataa kuchanja. Ndio inavyokuwa mambo yakienda vizuri sana unaanza kuamini una ulinzi wa mungu wakati mungu aingilii uhalisia. Kama kinga ni chanjo chanja hiyo akili kampa mtu mwingine wa kutengeneza dawa sio wewe.
Nonetheless Magufuli alikuwa na kazi kubwa ya kuwaweka sawa watu kama nyie wenye vichwa vigumu kuelewa mambo. Such idiot kutotaka kukubali ukali wa COVID 19.
It’s beyond me ni kitu gani usichoelewa kwenye mjadala ambao uchangiaji wake for the most to grasp you only need common sense.
👋
Wewe poyoyo chakufanya waambie mabosi wako huyu bwana akifika tumpe hata ukuu wa wilaya.Such an idiot ... pure nonsense...
Utetezi wa kitoto kabisa huu.Kwani kuna ugumu wa kwenda kuchukua maiti mochwari ambao ndugu zao hawajatokea na kuzitupa baharini.
Kila siku masheikh na ma-padre wanapewa maiti za kuzizika kutokana na majina yao ambao wamekaa mochwari muda hakuna walioenda kuokota maiti.
Hakuna mtu mwenye akili timamu alieamini Magufuli alikuwa akiuwa watu na kuwatupa baharini.
Ulaya uchunguzi ungeanza na watu kama hakina Zitto, Nape, January na wengine wote waliokuwa wanaishitumu serikali watakuwa wanajua cinema yote; na achomoki kwa sababu ya ki here here vyao wangechunguzwa mpaka watie akili.
Hii sinema itanoga sio muda mrefu; kwa sasa wachezaji wa upande bado hawapo clear.
Ni mchezo wa CDM au mafisadi ambao wana mtu wao 2025 (kama ni mafisadi yana mtu wao) maza achomoi, bearing in mind how gullible Tanzanians are.
Makonda kaanza kazi aliyoizoeaMsaidizi maalum wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu; ameshambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana jijini Dar es Salaam jana, 30 Oktoba 2023 majira ya saa 2 usiku. Hizi ni dalili za giza la kisiasa kuanza kutanda tena!
Ulaya hao watu hawachomoki trust me, wenyewe wanaita ‘persons of interests’. We si unajua wanaanza na wewe.Utetezi wa kitoto kabisa huu.
Wapi na ilikuwaje?Msaidizi maalum wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu; ameshambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana jijini Dar es Salaam jana, 30 Oktoba 2023 majira ya saa 2 usiku. Hizi ni dalili za giza la kisiasa kuanza kutanda tena!