Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Nyerere alituachia upendo ccm wanatufarakaniaha
 
Kwani msajili hataki wanasiasa wapendane? Kupendana ni dhambi? Wasiopenda watu wapendane hawapendi amani.
 
Kwa mujibu wa ofisi ya msajili wa vyama, seif ni mgombea wa kupitia ACT-WAZALENDO. Ofisi ya msajili ni chombo cha muungano hivyo haijalishi unagombea zanzibar au bara msajili anakusimamieni tuu kama msajili na mlezi wa vyama. Hivyo msajili usimfananishe na ZEC
 
Huoni hapo ni kuingilia uchaguzi Wetu?
Mbona hao mnaowaita mabeberu wakitoa tahadhari mnasema wanaingilia uchaguzi?
 
Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko Kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Nafikiri Mrema hana Mgombea wa kiti cha Uraisi, yeye binafsi hagombei wala hana Ratiba yake ya kampeni kwa ngazi husika
 
Demokrasia inapitia changamoto nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…