Msajiri wa vyama vya siasa ijapokuwa ni jaji na muhudumu wa sheria, katika hili anahitaji msaada zaidi kuitafsiri sheria hii na kutafsiri matukio ya kisiasa kuliko kukariri na kuendesha ofisi kilumumbalumumba tu[emoji1534][emoji1548][emoji1536]Labda huyu msajili atuambie Chama cha TLP kinachomnadi mgombea wa ccm ndugu Magufuli sio chama cha SIASA.
Kwa tafsiri ndogo ya kifungu cha 11A cha sheria ya vyama vya siasa Sura 258 iliyonukuliwa na msajiri hapo, ni kwamba sheria inahusu KUUNGANA KWA VYAMA yaani kwa kizungu wanaita merging/mergermation au Coalition...
Hakuna walipoungana hakuna makubaliano yoyote ya kuungana..hebu msome tena YerikoTLP walisema mapema kabla ya muda kuisha wa kuungana, meaning sheria ya NEC imetoa muda wa vyama kuungana, ukipita hakuna ruhusa kuungana, ACT & CHADEMA chunguzeni hiyo sheria mpya, kwa makini, la sivyo mtaingia ktk mgogoro mkubwa na NEC.. Ilitakiwa ACT na CDM waungane mapema na wapeleke mgombea mmoja wa Rais pale NEC, nadhani wamechelewa, ingetakiwa miezi 3 kabla ya uchaguzi
Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria
Bango hili kwa hisani ya ccm
Kuungana, kushirikiana, hayo maneno yanafanana na yanaweza kutumika interchangeably?Umenena vizuri sana!
Wanatakiwa wakumbushwe sheria inasemaje kuhusu kuungana kwa vyama wakati wa uchaguzi.
Sio,kwamba hawajui ni ukaidi tu wa sheria ili NEC ionekana inakipendelea chama Cha Mapinduzi.
Ukweli ni kwamba kuungana kuwa na mgombea mmoja wamechelewa na wanatakiwa watafakari upya kile wanachokitaka kukifanya.
Hivi huyu msajili kweli ni professional? Yaani kwa level yake asijue kutafsiri sheria kweli?🤔 Au ndo wale wale wanaojipendeza ili waweze kuishi maana vinginevyo hawez kusimama kwa miguu yake professionally akawa na ajira ya kuaminika.Labda huyu msajili atuambie Chama cha TLP kinachomnadi mgombea wa ccm ndugu Magufuli sio chama cha SIASA.
Kwa tafsiri ndogo ya kifungu cha 11A cha sheria ya vyama vya siasa Sura 258 iliyonukuliwa na msajiri hapo, ni kwamba sheria inahusu KUUNGANA KWA VYAMA yaani kwa kizungu wanaita merging/mergermation au Coalition...
Labda huyu msajili atuambie Chama cha TLP kinachomnadi mgombea wa ccm ndugu Magufuli sio chama cha SIASA.
Kwa tafsiri ndogo ya kifungu cha 11A cha sheria ya vyama vya siasa Sura 258 iliyonukuliwa na msajiri hapo, ni kwamba sheria inahusu KUUNGANA KWA VYAMA yaani kwa kizungu wanaita merging/mergermation au Coalition...
TLP walisema mapema kabla ya muda kuisha wa kuungana, meaning sheria ya NEC imetoa muda wa vyama kuungana, ukipita hakuna ruhusa kuungana, ACT & CHADEMA chunguzeni hiyo sheria mpya, kwa makini, la sivyo mtaingia ktk mgogoro mkubwa na NEC.. Ilitakiwa ACT na CDM waungane mapema na wapeleke mgombea mmoja wa Rais pale NEC, nadhani wamechelewa, ingetakiwa miezi 3 kabla ya uchaguzi
Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria
Usidanganye watu hata kama umeteuliwa kugombea tume haikulazimishi kufanya kampeni, mfano ukiishiwa pesa ya kampeni NEC au Msajili atakupa?Tatizo unasoma sheria ukiwa na mindset potofu. Kuunga mkono ukiwa siyo magombea ni tofauti kabisa na wewe kuiomba tume ikuteua kuwa mgombea wa madaraka fulani, halafu ukishauruhusiwa kugomea madaraka hayo unatumia nafasi hiyo kumnadi mgombea mwingine kabisa badala ya kujinadi mwenyewe...
Ndipo unapokosea; haulamishiwi kufanya kampeini, lakini huwezi kutumia nafasi ya kuteuliwa kumfanyia kampeni mteuliwa mwingine; tafuta wadadavuzi wa sheria wakueleweshe tafsiri inayoitwa double jeopardy.Usidanganye watu hata kama umeteuliwa kugombea tume haikulazimishi kufanya kampeni.
Na kweli.... lakini to be fair kwa msajili, ajatoa onyo mahsusi, ametoa onyo la jumla; ingawa tunajua nini kimetoa pangoniWalio ungana ni Membe na tundu Lissu. Msajiri atafute sababu nyingine
TLP walisema mapema kabla ya muda kuisha wa kuungana, meaning sheria ya NEC imetoa muda wa vyama kuungana, ukipita hakuna ruhusa kuungana, ACT & CHADEMA chunguzeni hiyo sheria mpya, kwa makini, la sivyo mtaingia ktk mgogoro mkubwa na NEC.. Ilitakiwa ACT na CDM waungane mapema na wapeleke mgombea mmoja wa Rais pale NEC, nadhani wamechelewa, ingetakiwa miezi 3 kabla ya uchaguzi
Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria
Umenena vizuri sana!
Wanatakiwa wakumbushwe sheria inasemaje kuhusu kuungana kwa vyama wakati wa uchaguzi.
Sio,kwamba hawajui ni ukaidi tu wa sheria ili NEC ionekana inakipendelea chama Cha Mapinduzi.
Ukweli ni kwamba kuungana kuwa na mgombea mmoja wamechelewa na wanatakiwa watafakari upya kile wanachokitaka kukifanya.
Mmeishiwa HOJA nyie. Kuna tofauti kati ya "KUUNGANA" na "KUSHIRIKIANA"Umenena vizuri sana!
Wanatakiwa wakumbushwe sheria inasemaje kuhusu kuungana kwa vyama wakati wa uchaguzi.
Sio,kwamba hawajui ni ukaidi tu wa sheria ili NEC ionekana inakipendelea chama Cha Mapinduzi.
Ukweli ni kwamba kuungana kuwa na mgombea mmoja wamechelewa na wanatakiwa watafakari upya kile wanachokitaka kukifanya.
Tunazungumzia sheria ya uchaguzi kifungu cha 11A Sura 258 inasema COALITION kwa kiswahili MUUNGANO, unataka kusema mgombea akisema kura zangu mpeni fulani tayari wameungana, mbona iko wazi tu CCM mnafeli wapi.Ndipo unapokosea; haulamishiwi kufanya kampeini, lakini huwezi kutumia nafasi ya kuteuliwa kumfanyia kampeni mteuliwa mwingine; tafuta wadadavuzi wa sheria wakueleweshe tafsiri inayoitwa double jeopardy. Hata sheria ya kunyongwa inalazimika kuongeza maneno "hadi kufa" kutokana na msingi huo huo. Nina imani Wakili msoni naye anajua hilo labda anataka kulivunja kwa makusudi tu.
Ni ngumu sanaa kuitoa Ccm madarakani... mwalimu wangu wa constitutional law aliwai kuniambia Ccm wanabebwa na katiba ambayo ilitungwa kwa copying and pasting kutoka katiba ya tanu....Hawa jamaa wameamua kuweka taaluma zao pembeni na kutumikia matumbo. Ni wote tu - mahakama, polisi, NEC, Uhamiaji, TRA, nk. very sad. CCM itaondoka Watanzania watakapoamua. Siyo kwa kura lakini. Kivingine.
What about this?Labda huyu msajili atuambie Chama cha TLP kinachomnadi mgombea wa ccm ndugu Magufuli sio chama cha SIASA.
Kwa tafsiri ndogo ya kifungu cha 11A cha sheria ya vyama vya siasa Sura 258 iliyonukuliwa na msajiri hapo, ni kwamba sheria inahusu KUUNGANA KWA VYAMA yaani kwa kizungu wanaita merging/mergermation au Coalition.
Sio hii inayotumika na Chadema na ACT wala inayotumika na CCM na TLP ambayo sio muungano bali ni gentlemen agreement au Cooperation. Au kwa siasa za Marekani huitwa endorsement.
Chadema na ACT walijua tangu mwanzo kwamba ccm na msajiri wametegesha zengwe hili ili kusiwepo na muungano kama ule wa UKAWA ndiomaana utaratibu huu wa KUUNGA MKONO mgombea mmoja wapo wa wagombea ulichelewa.
Kwa lugha rahisi ya kitaalamu, hakuna muungano wowote uliopo kati ya Chadema na ACT wala hakuna muungano wowote uliopo kati ya CCM na TLP. Kilichoko kitaalamu huwa kinaitwa kuunga "mkono mgombea flani" ama huitwa endorsement kwa siasa za kimagharibi hasa za USA na UK, Cooperation ama kijeshi hasa kijasusi huitwa gentleman's Agreement. Tena kwenye ujasusi hutumika pale mnapogongana kwenye anga la espionage.
Msajiri wa vyama vya siasa ijapokuwa ni jaji na muhudumu wa sheria, katika hili anahitaji msaada zaidi kuitafsiri sheria hii na kutafsiri matukio ya kisiasa kuliko kukariri na kuendesha ofisi kilumumbalumumba tu.
Endelea kujipatia Kitabu cha Ujasusi kwa OFA MAALUMU ya 25,000/= badala ya bei halisi ya 80,000/=.
Lipia 25,000 kwa 0788887887 (Yericko Nyerere) kisha tuma majina yako na mahali ulipo.
Kwa Dar Kitabu kitaletwa ulipo Bureeee. Nje ya Dar utalipia usafiri 8,000/=
Na Yericko Nyerere
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria
Good IdeaNimesoma hicho kifungu cha sheria husika na pia barua ya msajili wa vyama. Barua ya msajili wa vyama inaonya kuhusu "ushirikiano" wa vyama lakini kifungu cha sheria ya vyama vya siasa kinaongelea "muungano" wa vyama. Barua aliyoandika msajili imepotosha sheria kwa malengo ya kukibeba chama fulani. Kwa hiyo hivi vyama mfano ACT, Chadema, Chauma na wapenda haki wote kama TLS, LHRC n.k vitoe barua za wazi kumuuliza huyu msajili anayetumika kuwa ni kifungu gani cha sheria kinaongelea "ushirikiano" hata "endorsement"? Ni hicho tu.