Siyo kwa Kizazi hiki Mkuu. Watu wamebadilika mno na wako tayari kwa lolote ilimradi wanatetea haki zao bila kuvunja Sheria.Ni ngumu sanaa kuitoa Ccm madarakani... mwalimu wangu wa constitutional law aliwai kuniambia Ccm wanabebwa na katiba ambayo ilitungwa kwa copying and pasting kutoka katiba ya tanu....
Ni wapi Chadema walipoungana na ACT, yaani unazidiwa akili na kifaranga kilichototolewa leo hii,Umenena vizuri sana!
Wanatakiwa wakumbushwe sheria inasemaje kuhusu kuungana kwa vyama wakati wa uchaguzi.
Sio,kwamba hawajui ni ukaidi tu wa sheria ili NEC ionekana inakipendelea chama Cha Mapinduzi.
Ukweli ni kwamba kuungana kuwa na mgombea mmoja wamechelewa na wanatakiwa watafakari upya kile wanachokitaka kukifanya.
We nyani tu[emoji867][emoji867]Ni wapi Chadema walipoungana na ACT, yaani unazidiwa akili na kifaranga kilichototolewa leo hii,
Au unadhani watu wote ni mazuzu kama ulivyo...
kama hujui jambo uliza, sio kuandika mavi hapa...
Kenge wewe
Usiwe mjinga!Kuungana sio kusema tu mdomoni!Mnatakiwa kupeleka vielelezo NEC kuonesha mnaungana na mnaungana katika nyanja zipi!TLP walisema mapema kabla ya muda kuisha wa kuungana, meaning sheria ya NEC imetoa muda wa vyama kuungana, ukipita hakuna ruhusa kuungana, ACT & CHADEMA chunguzeni hiyo sheria mpya, kwa makini, la sivyo mtaingia ktk mgogoro mkubwa na NEC.. Ilitakiwa ACT na CDM waungane mapema na wapeleke mgombea mmoja wa Rais pale NEC, nadhani wamechelewa, ingetakiwa miezi 3 kabla ya uchaguzi
Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria
Hapana, TLP walikuwa nje ya muda, sheria inataka angalau miezi 3 kabla ya uchaguzi, na in kwa muungano na sio ushirikiano.msajili kajichanganyaTLP walisema mapema kabla ya muda kuisha wa kuungana, meaning sheria ya NEC imetoa muda wa vyama kuungana, ukipita hakuna ruhusa kuungana, ACT & CHADEMA chunguzeni hiyo sheria mpya, kwa makini, la sivyo mtaingia ktk mgogoro mkubwa na NEC.. Ilitakiwa ACT na CDM waungane mapema na wapeleke mgombea mmoja wa Rais pale NEC, nadhani wamechelewa, ingetakiwa miezi 3 kabla ya uchaguzi
Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria
Kuna kauli moja inasema kama nchi haikumwaga damu wakati wa kupigania uhuru.... Raia wake ni tofauti na nchi zilimwaga damu kipind hicho... Tutaongea JF tutamaliza ila kuamua bado sanaaa watanzania tunajijua....Siyo kwa Kizazi hiki Mkuu. Watu wamebadilika mno na wako tayari kwa lolote ilimradi wanatetea haki zao bila kuvunja Sheria.
Unaweza leta ushahidi wa document ya makubaliano yao ya kuungana.TLP walisema mapema kabla ya muda kuisha wa kuungana, meaning sheria ya NEC imetoa muda wa vyama kuungana, ukipita hakuna ruhusa kuungana, ACT & CHADEMA chunguzeni hiyo sheria mpya, kwa makini, la sivyo mtaingia ktk mgogoro mkubwa na NEC..
Ilitakiwa ACT na CHADEMA waungane mapema na wapeleke mgombea mmoja wa Rais pale NEC, nadhani wamechelewa, ingetakiwa miezi 3 kabla ya uchaguzi
Uchaguzi 2020 - Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Vyama vya Siasa vinavyotaka kushirikiana Uchaguzi Mkuu vimeshachelewa kwa mujibu wa Sheria