Itabidi athibitishe huo uwezo mahakamani kwanzaMbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.
Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwabia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Hajakemea vyama amekemea aliyesema ataleta vurugu.Mbona kukemea vyama pinzani pekee!
Hadi leo Kuna watu wanaamini mbwatukaji atapata kura za kushinda urais?Hapo hakusema endapo atafeli, bali endapo ataibiwa kura. Msajili angenukuu vizuri, halafu aseme kama atakayeiba kura amepungukiwa au hajapungukiwa ustaarabu
Huyo msajili hana tofauti na Polepole, apuuzwe tuHapo hakusema endapo atafeli, bali endapo ataibiwa kura. Msajili angenukuu vizuri, halafu aseme kama atakayeiba kura amepungukiwa au hajapungukiwa ustaarabu
Akisndwa kwa halali ni tofauti na kushindwa kwa kuibwa kura zake eti.Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Ataingiza raia barabarani kama nani?!Lissu alisema anataka ashindwe kihalali, na akishindwa kwa mizengwe ya Tume ndiyo ataingiza raiya barababarani.
.....masaburi.Lissu kawakamata MATAGA kunako I tell you!!
Unamaanisha Magufuli??? Kama magufuli hapana. Hawezi kushinda uraisiHadi leo Kuna watu wanaamini mbwatukaji atapata kura za kushinda urais?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Lissu sio kama lile tutusa lao ambalo tulidhani ndiye kumbe siye.Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.
Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Msajili tuliza mukari,ccm tutashinda
Hajasema endapo atashindwa (feli) bali endapo kura zake zitafanyiwa figusi figusi na kuibiwa au kuchakachuliwa. Waweke sawa maneno yao na ana wasi wasi gani kama anajua hakuna wiziMsajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Mwanzoni wanaanzaga hivyo hivyo ila baada ya matokeo ndo tunamuachia Mungu zinafataMbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.
Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.