Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Mutungi katika upuuzi wake. Hana jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mtafanya siasa kampeni uchaguzi kwenye hiyo mioyo yenu [emoji23][emoji1787]
ndiyo aifute chadema kama anachuki binafsi kwani kisheria hawezi kuifuta hana sababu ya msingi kuifuta yeye anafikiri chadema ni kama ofisi ya shina,zee linazeeka vibaya lileSawa mtafanya siasa kampeni uchaguzi kwenye hiyo mioyo yenu [emoji23][emoji1787]
Siku akithubutu kuionya ccm ndio siku atakayotimuliwa kama kibakaMbona hakuiandikia barua CCM wakati ule wa kampeni za urais ambapo Samia alisema "hata ukipigia kule kwingine ccm itaunda serikali?"
Ofisi inaendeshwa na mwendawazimu. Ajaribu kufuta, aone. Ndipo atakapojua kuwa kumbe siyo ana akili ndogo bali punguwani kabisa.Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Heri James na Kenan Kihongosi ambao Leo mmoja ni DC Ubungo na mwenzake NI Katibu Mkuu wa UvccmHivi CCM waliandikiwa barua pala makada kadhaa kwa muda tofauti waliongelea kutolewa uhai kwa wanaopinga utawala uliopo mfano Aliyekua Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mwingine yule wa Iringa?
Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Kuna watu wengine ukiangalia morphology ya vichwa vyao unapata kilichopo ndani ya kichwa husika.mbona hajamkanya mwenyeiti wa ccm wa matamshi yake wamba mwaka 2025 ni zamu ya wanawake
kuweka Rais wao,
Haoni kabisa kwamba wa kauli hiyo ni ya kuligawa taifa kwa misingi ya kijinsia?
Huyu jaji ni very bougs
Wathubutu kuifuta chadema ili waone Kama inapendwa au la Yani ni Kama unabet kupita na kijinga Cha Moto kwenye tank la petroleum ukijaribu kudadisi Kama la morogoro au tukuyu litajibu au halitajibu .......?kinachowaumiza zaidi endapo wakiifuta chadema ni pesa za misaada wanazopewa na mabeberu kwa pazia la demokrasia bandia.
Viongozi wa CHADEMA wako frustrated na mdororo wa chama chaoAiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Wanadhani upinzani ni chadema!
Upinzani ni imani iliyopo ndani mwa watu.
Baada ya kuwagomea kile kikao uchwara wamesala kama Mbogo??😅😅Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Kile kikao chake si aende akakae na IGP😅😅Kifutwe tu hicho chama cha wahuni wakilala wanawaza uhuni wakiamka wanawaza Fujo sasa chama kilikuwa kinageuzwa cha kigaidi
Tanzania bila ugaidi inawezekana
Tulivyokataa kile kikao chake roho inamuuma.Huyo Msajili wa vyama vya siasa, moja kwa moja, amethibitisha pasipo shaka yoyote kuwa ame-side upande wa CCM.
Yeye anatambulika kama mlezi wa vyama vya siasa, sasa ni kwanini atoe kauli ya vitisho vya aina hiyo kwa chama cha siasa cha Chadema pekee??
Mbona hatujamuona atoe kauli kama hizo kwa CCM, pamoja na "madudu" yake mengi inayoyafanya??
Aifute Chadema, kama anao huo ubavu!
Full Stop
Huyu Babu wa Kihaya ni taahiraAiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !