Kumbe msajili mwenyewe hajitambui amefika je hapo?Msajili alipaswa kutumia kifungu cha 21 cha sheria ya vyama vya siasa na sio kifungu cha 19(2l(f) ambacho kinahusu vyama vyenye usajili wa Muda na sio usajili wa kudumu
Mtoto akiwa na miaka 6-7 anatumia asilimia 80% ya ubongo wake (akili) wachina baada ya kuligundua hilo wanahakikisha kwa umri huo wanawaweka pamoja na kuwalea kwa taaluma mbalimbali 'they incubate and module them*Kama shida yao ni chadema na ndiyo inayowanyima raha ya kuongoza, basi si waifute tu wakae kwa amani na raha?
Acha kuikweza Chadema mahala isipo stashiki. Nchi itachafuka kwa lipi? Mwenyekiti alikamatwa kama kuku wa mdondo na muda huu ananyea ndoo Segerea, nchi ipo tulii. Kitu gani kingine cha kusubiri unacho dhani kitakacho fanya nchi ilipuke?Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Chadema kwa ujumla imepoteza mwelekeo wa siasa kwani mpaka sasa uongozi wake haupo centralized kila kiongozi anatoa kauli za ajabu ajabu.Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Nashangaa wanatumia nguvu kubwa sana kupambana nayoKama shida yao ni chadema na ndiyo inayowanyima raha ya kuongoza, basi si waifute tu wakae kwa amani na raha?
Kazi ya kulinda tongue siyo rahisi pia. Ila Siku zake zinahesabika. Maana hata afanye he ni lazima atoswe tu ili wajifanye kama vile wanasafisha.Huyu msajili mgeni Nchi hii kipindi Cha kina Heri James , Polepole,Kibajaji na kina KIHONGOSI KENANI wanatoa lugha za chuki aliwahi kuwaansikia barua CCM?
Chadema wasimjibu Kama walivyo mpotezea barua ya mwanzo,Kama vipi aifute.
Mkuu 'Mystery' usiombee iwe hivyo!Aifute Chadema, kama anao huo ubavu!
Huyo mzee kesha kamatwa na polisi, msajili anataka maelezo, mambo juu ya mambo!Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Mbona hiyo misemo NI ya Kiswahili wala si ya mitaani Kama anavyo dai?Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Na ndio maana wanauma na kupuliza. Kukifuta wanatamani ili watulie, misaada kuikosa hawako tayari.kinachowaumiza zaidi endapo wakiifuta chadema ni pesa za misaada wanazopewa na mabeberu kwa pazia la demokrasia bandia.
Bora ningepiga punyeto kuliko kuzaa toto ovyo kama weweKifutwe tu hicho chama cha wahuni wakilala wanawaza uhuni wakiamka wanawaza Fujo sasa chama kilikuwa kinageuzwa cha kigaidi
Tanzania bila ugaidi inawezekana
Mbona imeandikwa kama a "Love Letter"Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Huyu ni Jaji ambaye Hana rekodi ya kuwahi kuandika hukumu, sasa sijui alikuwa anasimamia kesi gani !!!!Kumbe msajili mwenyewe hajitambui amefika je hapo?
Ni upotevu wa hela za walipa kodi kwa kuwa na ofisi ya ovyo kama ya msajiliAiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !