Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ni ya kinafiki lazima watu waikatae.Ni kosa la ufundi wa kuongea, asingeolea 4Rs za Samia katika mkutano wa CHADEMA ambapo wengi hawailewi vema falsafa hiyo
Akamwambie Yericko Nyerere na machawa wenzakeAmepata anachostahili 4R akawaambie kina Wassira na Dada yake huko
Hukusikia Mbowe Mbowe?Mie nimesikia Lissu Lissu Lissu
Ndiye tunayemtaka huku ground
Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
[
Naona kuna Ofisi nyeti za umma zimekaliwa na mataahira. Kicheko gani hicho sasa!