Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Lisu ameshasema hakuna maridhiano bali ulaghai kama ulaghai mwingine.Hahaha, Muulize Lisu ndiye mwanasheria, atakueleza vizuri, alishiriki mpaka yalipofikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu ameshasema hakuna maridhiano bali ulaghai kama ulaghai mwingine.Hahaha, Muulize Lisu ndiye mwanasheria, atakueleza vizuri, alishiriki mpaka yalipofikia.
Vita huleta heshima, kwa hili hatubishani.Maridhiano ama ukondoo? Machafuko ndio yataleta mabadiliko ya kweli ndani ya nchi hii.
Hawezi kufanya siasa kwa mtizamo huo nchi hii.Lisu ameshasema hakuna maridhiano bali ulaghai kama ulaghai mwingine.
Hatuko tayari kwa siasa za kujinyenyekeza na huku hupati chochote. Ni bora cdm wapambane na wasipate chochote lakini waache tukiwa hatuna maelewano, kuliko kukosa chochote huku ukijipendekeza.Hawezi kufanya siasa kwa mtizamo huo nchi hii.
Subiri ashinde tutarudi hapa Kujadili hili.
Na tutakosa kweli, ama la twende tatatibu tutafika, mvumilivu hula mbivu, mtaka yote kwa pupa hukosa yote.Hatuko tayari kwa siasa za kujinyenyekeza na wala hupati chochote. Ni bora cdm wapambane na wasipate chochote lakini waache tukiwa hatuna maelewano, kuliko kukosa chochote huku ukijipendekeza.
VisunguraAnavyojichekesha sasa!!
😂😂😂😂Naona unamsagia kunguni Sist Nyahoza akose usajili maana CCM fitna na majungu ndo vitu mnavyoweza hakika🤣🤣🤣
Huyo amechoka kukaa kwenye hiyo nafasi anataka kwenda kulima kijijini.Wakati akitoa Salam za Msajili wa Vyama Vya siasa Mh Nyahoza Kwa niaba ya Jaji Mutungi alisema " tangu jana nimehudhuria Baraza Kuu na Leo Mkutano mkuu hakika nimeshuhudia Demokrasia iliyotukuka ndani ya Chadema na Kwa hili nampongeza sana Mh Mbowe, nashauri VYAMA VYOTE VYA SIASA VIIGE HII DEMOKRASIA"
Vyama VYOTE vya siasa Maana yake na CCM imo
Ndio nauliza Kaimu Msajili wa Vyama vya siasa Mh Nyahoza yuko Sahihi Kwamba na sisi CCM tuige?!
Nimekaa pale 🐼
Naona upo kimya sana baada ya Lissu kushinda uenyekiti Chadema.Huyo amechoka kukaa kwenye hiyo nafasi anataka kwenda kulima kijijini.
Angemuuliza Tido Mhando kwanza ili ampe wasifu wa ccm.
Amenuna 😂Naona upo kimya sana baada ya Lissu kushinda uenyekiti Chadema.
Vipi umeona matokeo lakini?
Sijawahi kuwa Chadema, wala washirikina ccm ndio sitaki kuwasikia kabisa, Chadema imeonesha demokrasia kwa uwazi.Naona upo kimya sana baada ya Lissu kushinda uenyekiti Chadema.
Vipi umeona matokeo lakini?
Waige kweli wazee wa force kingWakati akitoa Salam za Msajili wa Vyama Vya siasa Mh Nyahoza Kwa niaba ya Jaji Mutungi alisema " tangu jana nimehudhuria Baraza Kuu na Leo Mkutano mkuu hakika nimeshuhudia Demokrasia iliyotukuka ndani ya Chadema na Kwa hili nampongeza sana Mh Mbowe, nashauri VYAMA VYOTE VYA SIASA VIIGE HII DEMOKRASIA"
Vyama VYOTE vya siasa Maana yake na CCM imo
Ndio nauliza Kaimu Msajili wa Vyama vya siasa Mh Nyahoza yuko Sahihi Kwamba na sisi CCM tuige?!
Nimekaa pale 🐼
Hao ni wale waliokuwa wanasema Lisu hakujiandaa kugombea uenyekiti, hivyo atashindwa na Mbowe aliyejiandaa toka chini😂Naona upo kimya sana baada ya Lissu kushinda uenyekiti Chadema.
Vipi umeona matokeo lakini?