Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
😂😅Anazidi kuzipunguza kura za FAM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😅Anazidi kuzipunguza kura za FAM
Mtawateka na kuwafanya kama Ali Kibao?Wazomeaji tumewaona 🐼
HahahahMsajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Hehehe 4r za mchongoHahaha Team Lisu hao, vijana wa mihemko.
Kuingia na nyama ya kitimoto msikitini!Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Maridhiano muhimu, Team Lisu mnataka vita.Hehehe 4r za mchongo
..na MboweAmepata anachostahili 4R akawaambie kina Wassira na Dada yake huko
Maridhiano kuhusu nini?Maridhiano muhimu, Team Lisu mnataka vita.
Hahaha, Muulize Lisu ndiye mwanasheria, atakueleza vizuri, alishiriki mpaka yalipofikia.Maridhiano kuhusu nini?
Hukusikia Mbowe Mbowe?
Amandla...
Sio kosa la kiufundi bali anajipendeleza ili apewe hiyo nafasi.Ni kosa la ufundi wa kuongea, asingeongelea 4Rs za Samia katika mkutano wa CHADEMA ambapo wengi hawailewi vema falsafa hiyo
Bravo Brother. Kiufupi huyu ni referee, tena wa zaidi ya timu mbili ( zaidi ya referee wa mpira). Kwa muktadha huo, hakupaswa hata kidogo kuongelea falsafa ya chama chochote, kufanya hivyo anakosa sifa ya kuwa referee. Cha ajabu, ndo anakenua meno yenye mapengo. Hakika mabumunda ni mengi sanaAmejiabisha kwa kuonesha kichwani kwake ni kada wa CCM, hizo R4 ni za mwenyekiti wa ccm. Yeye kama msajili wa vyama vya siasa hapaswi kushadidia falsafa za vyama kwa kuwa kila chama kina sera na falsafa zake
Maridhiano ama ukondoo? Machafuko ndio yataleta mabadiliko ya kweli ndani ya nchi hii.Maridhiano muhimu, Team Lisu mnataka vita.