Pre GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa azomewa baada ya kutaja 4R za Samia kwenye Uchaguzi CHADEMA

Pre GE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa azomewa baada ya kutaja 4R za Samia kwenye Uchaguzi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijawahi kuwa Chadema, wala washirikina ccm ndio sitaki kuwasikia kabisa, Chadema imeonesha demokrasia kwa uwazi.


Mliokuwa mnataka utapeli wa ccm kuleta jina kwenye bahasha ndio mjiulize sasa.
Braza sio wewe uliyekuwa unasema Lissu hashindi? Au ndo umebadili gia angani?
 
Ndyo kuna haja ya CCM kuchukua funzo kubwa sana kwenye Demokrasia ya Chadema, kuliko kupitishana tu bila kwenda kuchukua fomu na kufanya uchaguzi.
 
Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Hao ni nyumbu hawana akili na wamelewa tayari. Alijitakia alienda kufanya nini
 
Back
Top Bottom