Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Braza sio wewe uliyekuwa unasema Lissu hashindi? Au ndo umebadili gia angani?Sijawahi kuwa Chadema, wala washirikina ccm ndio sitaki kuwasikia kabisa, Chadema imeonesha demokrasia kwa uwazi.
Mliokuwa mnataka utapeli wa ccm kuleta jina kwenye bahasha ndio mjiulize sasa.