Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Braza sio wewe uliyekuwa unasema Lissu hashindi? Au ndo umebadili gia angani?Sijawahi kuwa Chadema, wala washirikina ccm ndio sitaki kuwasikia kabisa, Chadema imeonesha demokrasia kwa uwazi.
Mliokuwa mnataka utapeli wa ccm kuleta jina kwenye bahasha ndio mjiulize sasa.
Kura zimeamuwa na ndio demokrasia.Braza sio wewe uliyekuwa unasema Lissu hashindi? Au ndo umebadili gia angani?
Poapoa. Hongera kwa kutambua Demokrasia ndiyo inayopaswa kuamua.Kura zimeamuwa na ndio demokrasia.
Bora uukubali ukweli kwani utakusaidia/utawasaidieni kujijenga.Wazomeaji tumewaona 🐼
Kwa hiyo 4R vipi zimetekelezwa ?Wazomeaji tumewaona 🐼
Hao ni nyumbu hawana akili na wamelewa tayari. Alijitakia alienda kufanya niniMsajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, azomewa na umati wa watu baada ya kutaja 4R za Rais Samia kwenye uchaguzi wa CHADEMA. Uchaguzi huo unafanyika leo, Januari 21, 2025, Mlimani City kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Utajifunza nini kwa nyumbu ambaye ni zero brain animal?Hatari sana...mimi nimecheka alivyoambiwa awafikishie salamu wale wasiotoa fomu za uenyekiti (CCM) kuwa wajifunze kutoka Chadema
Huu upumbavu wako mbn umeshindwa kuuficha?Bora angekaa kimya akaficha upumbavu wake