Mnzajila GairoTz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 562
- 153
"KAMA katiba zao zinaruhusu wazifanyie marekebisho"...
Ina maana huyu msajili hajawahi kuzisoma hizo katiba. Sasa huwa anaenda ofisini kila siku asubuhi hadi jioni kufanya nini!
Tendwa alitamka kauli kama hiyo kabla hajakifuta Chadema akafutwa yeye
Ajaribu kufuta halafu aone cha moto. Aache kutishia nyau kwa maslahi ya ccm. Naamshauri avifute sasa hivi wala asichelewe.
Huyu si ndiye aliyesema atakifuta Chadema kikimsimamisha Mbowe kugombea uenyekiti kwa vile katiba ya Chadema mwisho vipindi viwili? Mbona Chadema walikaidi agizo lake na Mbowe ndiye mwenyekiti na mutungi yuko kimya?
IGP Mangu na Msajili Judge Mutungi, kwani hii dhana ya ulinzi shirikishi imeondoka baada ya IGP mwema kustaafu au haihusiani na vyama vya siasa? Kama elimu imekuwa ikitolewa kwa kiasi kikubwa raia washiriki katika ulinzi na usalama wa wao wenyewe na mali zao kwa sababu jeshi la polisi halina uwezo wa kuwa na idadi ya askari wa kuifanya kazi hiyo kwa ukamilifu, nini kinachokuja kwa tamko lao hili kuwa USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO NI KAZI YA POLISI na raia (kupitia vyama vya siasa) wasihusike katika ulinzi?
Je! Wanatuambiaje au wanatoa ufafanuzi gani juu ya ULINZI NA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO kwa kuangalia haya yafuatayo:- 1). POLISI wenyewe, 2). WANAMGAMBO, 3). ASKARI WA JIJI, 4). PRIVATE SECURITY COMPANIES (Hapa ni utitiri wa makampuni na Polisi ndiyo watoa vibali). 5). GREEN GUARDS, 6). RED BRIGADE, 7). BLUE GUARDS, 8). "ZAMBARAU" GUARDS, 9). SUNGU SUNGU, 10). POLISI JAMII, 11). NEIGHBOUR HOOD WATCH, 12). KOROKORONI, etc. etc.
Inawezekana kutofautisha maana ya USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO na kazi inayofanywa na vikundi, majeshi au watajwa wengine hapo juu?
Kutakuwa na kuchanganyikiwa sana kwa watu wengi endapo msajili na IGP wataanza kujaribu kusema nani anahusika na ulinzi au usalama hapo.
WATAFAKARI KABLA YA KUCHUKUA HATUA kwa kufuata maelekezo ya kupotosha ya walioshika hatamu kwa sasa.
Kitengo kingine cha Maintarahamwe AKA MACCM kikitumika vizuri kuelekea kwenye kura ya maoni na uchaguzi Mkuu. Kati ya CHADEMA na Mainterahamwe sijui ni yupi alianza kuwa na vikundi binafsi vya ulinzi.
We unaongelea umoja wa vijana wa ccm ule ulikuwepo tu bila mazoezi ya kupambana na watu wa vyama vingine na hawana madhara kama yanayotayarishwa na vikundi vya red brigade na vya iana hiyo. Fikiri vizuri ww.
Msajili wa Vyama vya Siasa, amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta.
Amedai kama Katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka.
Tamko hill limetolewa kwa ushirikiano wa IGP Mangu kwa niaba ya Jeshi la polisi na ofisi ya msajili.
My Take.
Niwazi kwa ubishi wa CHADEMA bila shaka kitafutwa katika medani za siasa.
=========================================
Chanzo: Mwananchi
Msajili wa Vyama vya Siasa, amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta.
Amedai kama Katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka.
Tamko hill limetolewa kwa ushirikiano wa IGP Mangu kwa niaba ya Jeshi la polisi na ofisi ya msajili.
My Take.
Niwazi kwa ubishi wa CHADEMA bila shaka kitafutwa katika medani za siasa.
=========================================
Chanzo: Mwananchi
Msajili wa Vyama vya Siasa, amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta.
Amedai kama Katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka.
Tamko hill limetolewa kwa ushirikiano wa IGP Mangu kwa niaba ya Jeshi la polisi na ofisi ya msajili.
My Take.
Niwazi kwa ubishi wa CHADEMA bila shaka kitafutwa katika medani za siasa.
=========================================
Chanzo: Mwananchi