Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

Tuliingia Kwenye Siasa Myaka 20 Iliyopita Tulijua Huu Uwanja Wa Vita Wenye Mizengwe Na Dhuluma, Tuko Tayari Kumkabili Askari, Mda Wowote Jipindue Kwetu Si Tukofiti Idala Zote, Sitaki Muogope Sasa Naweka Vibayana Uzalendo Utushinda Sasa Unyama Unyama.
 
sijawai kuona mtu mzima anatishiwa nyau na akakimbia
 
Tendwa alitamka kauli kama hiyo kabla hajakifuta Chadema akafutwa yeye

Jaji Mutungi CHADEMA kwa sasa haifutiki! Ndiyo tumaini letu Watanzania linalotufanya tutulie! Chadema ni chama ambacho kinatupa sababu ya kuamka asubuhi!
 
Nadhani msajili alikuwa anazungumza utani tu. Hayupo makini na kazi yake
 
Kifupi sijamuelewa kabisa huyu Jaji anaposema:-
  • Akizungumza baada ya mkutano wake na vyama hivyo jana, Jaji Mutungi alisema katiba za vyama vingi vilivyosajiliwa kabla hajaingia ofisini vilikuwa na kifungu kinachoruhusu kuanzishwa kwa vikosi vya ulinzi na usalama wa mali za chama au viongozi wao wawapo katika mikutano.

    “Haturuhusu kifungu hicho kuwapo kwenye katiba za vyama vinavyosajiliwa sasa (hakugusia ACT - Wazalendo). Hatuvifundishi vyama vya siasa namna ya kuandaa katiba zao lakini tunasimamia kifungu hiki kwa vile kinapingana na sheria.”






Sasa kwa nini anazungumzia Chadema na CUF walokuwepo toka sheria hiyo ianzishwe. halafu unawezaje kuweka uwanja usiokuwa sawa kwa vyama vya siasa kiasi kwamba Ni CCM tu nndio wanaruhusiwa kutokana na sheria ile ilofutwa. Kama sheria ikifutwa inalazimu vyama vyote visiwe na vikundi hivi na kama msheria hiyo bado ipo haibadiliki kwa sababu ilikuwa kabla yakeu na kwa chama fulani. hakuna sheria inayotungwa kwa ajili ya jaji fulani akija mwingine sheria inabadilika.

Kifupi nimeshindwa kumuelewa huyu Jaji anatafsiri vipi sheria..
 

Anajaribu kupima kina cha maji kwa mguu!
 

Wamechanganyikiwa baada ya kuona Red bribed itawazuia kufanya hujuma zao walizozoea.
 
Ukiangalia kwa undani sana hapo mangu na mutungi wanatumikia jambo ambalo hawajui madhara yake! Hivi kwa wanasheria naomba watusaidie, hivi unaweza kulazimisha kumlinda mtu wakati huyo unayetaka kumlinda hataki? Kwa nini jeshi la polis lilazimishe kulinda mali na viongozi wa vyama vya siasa?
 
Kitengo kingine cha Maintarahamwe AKA MACCM kikitumika vizuri kuelekea kwenye kura ya maoni na uchaguzi Mkuu. Kati ya CHADEMA na Mainterahamwe sijui ni yupi alianza kuwa na vikundi binafsi vya ulinzi.

We unaongelea umoja wa vijana wa ccm ule ulikuwepo tu bila mazoezi ya kupambana na watu wa vyama vingine na hawana madhara kama yanayotayarishwa na vikundi vya red brigade na vya iana hiyo. Fikiri vizuri ww.
 
Umoja wa vijana na green brigade ni vitu viwili tofauti. Huu uongo wapelekee buku 7 wenzio.

We unaongelea umoja wa vijana wa ccm ule ulikuwepo tu bila mazoezi ya kupambana na watu wa vyama vingine na hawana madhara kama yanayotayarishwa na vikundi vya red brigade na vya iana hiyo. Fikiri vizuri ww.
 
huyu umbwa sijui msajili wa vyama vya siasa, kwanza wananchi hatumtambui asitutishe akawatishe hao fisi wenzie
 

Kule Zanzibar kuna Janjaweed ambao CCM chama tawala ndio wameanzisha kwaajili ya kufanya uharamia na umamluki kwa Zanzibar swali Je Msajili pia atakifuta chama cha Mapinduzi??
 
Nimwombe MUNGU anaepanga jambo litokee kwa mapenz yake,atuondolee haya majitu yasiyo na akili.CCM ni laana kwa taifa!
 

RED BRIGADE haiingilii majukumu ya Polisi...labda kama Polisi ina majukumu mengine ambayo siyafahamu, Majukumu makuu ya Polisi ni kulinda Raia na mali zao....sio kuilinda Chadema na mali zake, ifahamike Polisi hawatoshi kusimamia ulinzi wa raia, na ndio maana kuna kampuni nyingi za ulinzi binafsi nchini....

zaidi kuna Polisi jamii, Sungusungu na Ulinzi shirikishi, hivi ni vikundi / watu wanaojitolea kuisaidia Polisi ulinzi mitaani, hawajawahi kupita CCP ila wanaimarisha usalama mitaani

CHADEMA hatuwezi kuitegemea Polisi pekee itulinde, ikiwa yenyewe inategemea Polisi Jamii na Sungusungu!

CHADEMA hatuwezi kukodi kampuni ya ulinzi kulinda mali za Chama na viongozi mfn Ultimate Security wakati chama kina vijana wanaoweza kufanya kazi hiyo tena kwa moyo na ufanisi.

Jaji Mutungi anajua sharia kuliko Hayati George Liundi? kuliko Jaji Tendwa? na hiko kifungu amekiona leo? au anataka kuvuruga amani iliyopo? CHADEMA haitaacha kujilinda
 

CCM wameshafuta jeshi lao ambalo tena hufanya mazoezi wakiwa na silaha za moto? Aanze na CCM na ahakikishe polisi wanatensa haki.
 
"Mie siongei na Mbwa, naongea na wenye Mbwa'

Mnajifanya kufuga mbwa kwa ajili ya kukulindeni, hivi siku wakichoka kuwatii mnajua madhara yake?


 
CCM wameshafuta jeshi lao ambalo tena hufanya mazoezi wakiwa na silaha za moto? Aanze na CCM na ahakikishe polisi wanatensa haki.

Hiyo sasa bangi, ukiona mwenzio anatembea uchi na wewe unaiga kutembea uchi?

 
Sijui huyu naye ana matatizo gani kichwani..!!!! mtu anayejua wajibu wake na anaona kuna uvunjwaji mkubwa wa sheria anatakiwa kuchukua hatua. Inakuwa kama habari ya yule sungura na sanamu yenye ulimbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…