unamnanga ..wewe una nini ?"Currently,rich people are running technology or innovation related businesses not brick and motor"..Chamath Palapihiya CEO of Social Capital and owner Golden State Warriors
Msaki anafanya biashara kwa kuteseka!
Wapo wengi sanaKuna jamaa aliongozaga matokeo ya kidato cha 6
Utamkuta yuko kwao analisha ngombe tu, ukimchek
Hana mkakati ya maisha
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
hii ni aina nyingine ya wivu tuu"Currently,rich people are running technology or innovation related businesses not brick and motor"..Chamath Palapihiya CEO of Social Capital and owner Golden State Warriors
Msaki anafanya biashara kwa kuteseka!
Mshaanza ukabila wenu.Msacki mu old Moshi huyoo big up kwake.
Kibo complex ya Mama Mkapa, Jamaa ni mshika mapembe tuUle mjengo wa Kibo complex dooh si mchezo, shule ya wazo hill, wakala wa cement etc nahic jamaa biashara zake zinaingiza hata billion 1 kwa mwezi..hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Hlf nasikia alipataga div. 0 form six, maisha haya..
Kibo complex ya mama MkapaUzi chokonozi!....haya wenye infos zake karibuni!
Nashangaa wanaomsema MAKONDA, hata kama alifeli shule, ila maisha yamemnyookea, hta MBOWE kupata kwake zero form six lakini kwenye maisha katoboakuna kufaulu mitihani na kufaulu maisha...kufeli mitahani ya shule haimaanishi huna akili nyingine ya kimaisha
Hata top 50 kwa hesabu hii hafikiTop ten halafu unazungumzia 1b kwa mwezi.(12b kwa mwaka)? Kama ndio hesabu yake hio haingii kabisa kwenye top 10.
Mshaanza ukabila wenu.
Kwahiyo kumiliki jengo lile ndio yuko top 10 ya matajiri,kuna vijana wanamiliki majengo kariakoo na sinza ila hawako hata top 10000.Ule mjengo wa Kibo complex dooh si mchezo, shule ya wazo hill, wakala wa cement etc nahic jamaa biashara zake zinaingiza hata billion 1 kwa mwezi..hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Hlf nasikia alipataga div. 0 form six, maisha haya..
Dab utajiri wake ni sawa nabujambazi tu, kuamrisha aletewe pesa kwa kutishia watu huo nao utafutaji?Nashangaa wanaomsema MAKONDA, hata kama alifeli shule, ila maisha yamemnyookea, hta MBOWE kupata kwake zero form six lakini kwenye maisha katoboa